Beesmom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 37,361
- 91,911
🤣🤒Huko Kwa mganga ni bure ???
Polisi hutoi hela wewe ni wao
🤣🤒Huko Kwa mganga ni bure ???
Polisi hutoi hela wewe ni wao
Tutafute pesa mje kututapeli?Hapa anaomba ushauri kwa watu tofauti ela unayoina wewe kubwa wenzako wanaona ni chenji tu ml4 ya kufanya aue mtu tafuteni pesa bana
SahihiUmeumia polee kwa makosa uliyofanya,
Pole kwa makosa yanayofata hakika utaumia mara 10 zaidi usipobadili mawazo. Mganga ni mwanadamu kumbuka anategemea mashetani, shetani hatoi kitu bure
Huu ni ukweli. Hizo pesa hazitamfikisha popote sana sana anaenda kuhonga na kula bata tuHata usihangaike kupoteza hela kwenda kwa waganga tena mkuu, kuna kitu inaitwa KARMA it's matter of time anarudi kwako analia kwa kusaga meno hakika hakuna rangi hataacha kuona
Walivyokua wanakuimbia wimbo wa TAJIRI ulikua unajisikiaje walikua wanakwambia HUNA ADUI ulikua unajisikiaje wanakusifia HAAUNA MBAMBAMBA eti UKIFA HAUOZI kweli na wewe bichwa hilo unatoa tu 4MHabar wakuu
Kila nikikaa roho yangu inaniuma sana rafiki yangu niliemuamini yeye na rafkiake wamenitapeli ml. 4 cash
Ametumia urafiki wake Kwangu kuniumiza na hatukuandikishia popote na sina Cha kufanya ila nimekuja hapa naomba mtu yoyote anayemfahamu mganga yoyote anayeweza kazi ya kuangamiza aje PM nahitaji kuwaangamiza wao na familia Yao yote moyo wangu utulie
Asanteni.
Habar wakuu Mimi sijaja hapa kuomba ushauli nimekuja hapa kuomba nilichoomba mwenye uwezo wa kunisaidia afanye hivo asanteni
Sogea hapo rorya mkuu wamejaa tele au ingia kenya kabisa wana ule utaalumu wao wa kuwatuma nyuki wanakuletea mharifu wako safi kabisa yaani namaanisha nyuki wadudu hawa mafundi asali wanamtimba mwana kama furushi hivi mbona anakuja kanyooka kabisa mpaka kwako we ndo utaamua sasa usamehe au kazi ya mateso iendeleeUjaluoni sehemu gani chief, nipe location mengine nitamaliza mwenyewe
HahahaWalivyokua wanakuimbia wimbo wa TAJIRI ulikua unajisikiaje walikua wanakwambia HUNA ADUI ulikua unajisikiaje wanakusifia HAAUNA MBAMBAMBA eti UKIFA HAUOZI kweli na wewe bichwa hilo unatoa tu 4M
Mganga atataka ili aifanye kazi vizuri basi umkabidhi 3M na Ng'ombe ndama dume aliezaliwa akiwa ametanguliza makende utaweza kumpata?
Kauli yako ya dharau snInaoneka washa kugonga sana![]()
Ndivyo nilivyoelewa mkuu. Maana hukufaganua. Nimefanya kuunganisha doti tuKauli yako ya dharau sn
Ushawahi kopesha mtu unayemwamini kisha asikulipe kama kubaliano aliloweka wakati anakuja kukopa? Halafu iwe pesa ambayo huwezi samehe kirahisi!!Upo sahihi kabisa, nakubali hilo.
Ila ukikaa na hasira kifuani muda mrefu huku bado unakumbuka alichokufanyia utaishi maisha ya mateso mno, utakuwa umempa nafasi ya kukutesa.
Ila ukiweza kusamehe na kuendelea na maisha utakuwa umejifungulia milango mingine mizuri na hapo utairuhusu 'karma' iwalipe haki zenu nyote.
Balaa la kina samaki nbichi wamakonde.Ngende huko ni noma sema Sasa matapeli watamuwahi. Yaani ykishuka tu Liwale watu wakiona sura ngeni akili Yao inaeatuma kuwa unaenda ngende Kwa bibi![]()
Sawa mkuuPole sn ndugu, wengi tunapitia changamoto hizo. Ila nikwambie tu kuna wataalam hapa Tz watu hawawajui, wao wanajua watu wa sumbawanga, Tanga, Zanzibar (Pemba), na kigoma lakini nakuhakikishia mkoa wa Mara ni balaa, kuna kabila moja la wajaluo, hao ni hatari na nusu. Km humu kuna watu wanaowafaham vizuri watathibitisha haya nayokwambia. Ukimpata huyo hutajuta ni hatari na nusu. Km una ndugu yako anaishi huko mueleze atakusaidia. Anyway, jarb kutafuta. Ningekupa connection lakini.......
Kaka achana nae. Mimi nilishatapeliwa mara mbili lakini niliamua kuachana na masuala ya urafiki...niliamua kuendelea na maisha yangu. Cha ajabu hao rafiki zangu walianza kujiongelesha kwa watu. Kuwa jamaa anaroho ngumu sana. Ilifikia hatua kuna mmoja alimpigia wife kuwa dah jamaa naomba anisamehe..nitamlipa tu...hapo anaongea hivyo ni miaka kama miwili imepita.Habar wakuu
Kila nikikaa roho yangu inaniuma sana rafiki yangu niliemuamini yeye na rafkiake wamenitapeli ml. 4 cash
Ametumia urafiki wake Kwangu kuniumiza na hatukuandikishia popote na sina Cha kufanya ila nimekuja hapa naomba mtu yoyote anayemfahamu mganga yoyote anayeweza kazi ya kuangamiza aje PM nahitaji kuwaangamiza wao na familia Yao yote moyo wangu utulie
Asanteni.
Habar wakuu Mimi sijaja hapa kuomba ushauli nimekuja hapa kuomba nilichoomba mwenye uwezo wa kunisaidia afanye hivo asanteni
Pole sanaHabar wakuu
Kila nikikaa roho yangu inaniuma sana rafiki yangu niliemuamini yeye na rafkiake wamenitapeli ml. 4 cash
Ametumia urafiki wake Kwangu kuniumiza na hatukuandikishia popote na sina Cha kufanya ila nimekuja hapa naomba mtu yoyote anayemfahamu mganga yoyote anayeweza kazi ya kuangamiza aje PM nahitaji kuwaangamiza wao na familia Yao yote moyo wangu utulie
Asanteni.
Habar wakuu Mimi sijaja hapa kuomba ushauli nimekuja hapa kuomba nilichoomba mwenye uwezo wa kunisaidia afanye hivo asanteni
Sasa utaaminije Mungu asiye onekana na bado uwepo wake una mashaka makubwa , na uache kuamini mtu ambae unaishi nae?Rule no 1. Mche Mungu
Rule no 2. Usiamini watu
Pamoja na kwamba umekataa ushauri lakini nakuomba sana usome huu wanguHabar wakuu
Kila nikikaa roho yangu inaniuma sana rafiki yangu niliemuamini yeye na rafkiake wamenitapeli ml. 4 cash
Ametumia urafiki wake Kwangu kuniumiza na hatukuandikishia popote na sina Cha kufanya ila nimekuja hapa naomba mtu yoyote anayemfahamu mganga yoyote anayeweza kazi ya kuangamiza aje PM nahitaji kuwaangamiza wao na familia Yao yote moyo wangu utulie
Asanteni.
Habar wakuu Mimi sijaja hapa kuomba ushauli nimekuja hapa kuomba nilichoomba mwenye uwezo wa kunisaidia afanye hivo asanteni