Platformtz
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 267
- 406
Kwanza Poole sana kwa changamoto unazopitia.Usikate tamaa mapenzi ya dhati yapoo!!
Nimesoma vizuri ushuhuda wako,kwa kurejea nimegundua yafuatayo🙁Napengine ndio chanzo cha wewe kuteseka)
1.Unaonesha upendo wako kwa style ya unyonge na uhitaji.
(Unampa thamani kubwa sana mwanamke) kiasi cha kupunguza thamani na ubora wako,pamoja na kujiamini mbele yake,unamfanya mwanamke kuwa Boss wa maisha na hisia zako.
Hapa cha kufanya ni kuonesha upendo wako kwa ujasiri,epuka kuwa mnyonge na mhitaji.
Ukimpenda mwanamke muoneshe thamani yako,usiwe na haraka ya kuwa wa kwanza mda wote,mpe mda nae akufikirie,usmpe nafasi ya kujua udhaifu wako kihisia!
2.Unatatizo la kuamini kila mwanamke unaempenda lazima akupende.
Mwanamke nae ni binadamu anavipaumbele vyake na machaguo katika mapenzi na maisha kwa ujmla wake.
Kukubali kuwa karibu nawewe na kujenga mahusiano.Haimaanishi wala sio uthibitisho wa mapenzi ya dhati kwako(wengine hukubali kama ishara ya ubinadam,kwa kuogopa kukuumiza mana tayari mshakuwa marafiki,ama kwa sababu unamtimizia mahitaji yake n.k)
Lakini kiuhalisia unakuta moyoni mwake hakupendi"siyo kwa sababu hufai"Hapana!!
Ila ni kwasababu hitaji la kihisia la moyo wake halijatimia.Kama ilivyokwako unapohisi hupendwi kwa dhati.
Hivyo kabla hujajithibitisha na undani wa hisia za mwanamke juu yako.Hupaswi kuhitimisha mapenzi yako juu yake na kuamini anakupenda ama kulazimisha upendwe usipopendwa!
~~~~~~~~~~~~~~~
Kuhusu hatima ya mahusiano yako ya sasa!
Usiumize kichwa,si njema tena,mwache Mwl.aendelee na maisha yake.Usimchukie!!!
Chakufanya(kama kweli umedhamiria unataka kuoa):Kaa,Tulia,fikiria,walau mpaka mweziJanuary mwakani.(ktk hichi kipindi hakikisha unakuwa mwenye Fraha,kula vizuri,vaa vizuri pendeza kwa sana,mazoez n.k)
Huku ukijiuliza.
a)Unahitaji mwanamke wa aina gani(sifa zake)
b)Anapatikana wapi(chuon,kazini,sehem za starehe,kanisan,mjini,kijiji n.k)
Anza kumtafta kwa kutembelea hayo maeneo anzisha urafiki wa kawaida na wadada mbalimbali bila kuonesha mihemko ya kuwataka kimapenzi.
Kati yao angalia mwenye sifa unazotaka,mwoneshe upendo,akikupenda,mweleze ukweli wako.Mkielewana oa!!!
Nimesoma vizuri ushuhuda wako,kwa kurejea nimegundua yafuatayo🙁Napengine ndio chanzo cha wewe kuteseka)
1.Unaonesha upendo wako kwa style ya unyonge na uhitaji.
(Unampa thamani kubwa sana mwanamke) kiasi cha kupunguza thamani na ubora wako,pamoja na kujiamini mbele yake,unamfanya mwanamke kuwa Boss wa maisha na hisia zako.
Hapa cha kufanya ni kuonesha upendo wako kwa ujasiri,epuka kuwa mnyonge na mhitaji.
Ukimpenda mwanamke muoneshe thamani yako,usiwe na haraka ya kuwa wa kwanza mda wote,mpe mda nae akufikirie,usmpe nafasi ya kujua udhaifu wako kihisia!
2.Unatatizo la kuamini kila mwanamke unaempenda lazima akupende.
Mwanamke nae ni binadamu anavipaumbele vyake na machaguo katika mapenzi na maisha kwa ujmla wake.
Kukubali kuwa karibu nawewe na kujenga mahusiano.Haimaanishi wala sio uthibitisho wa mapenzi ya dhati kwako(wengine hukubali kama ishara ya ubinadam,kwa kuogopa kukuumiza mana tayari mshakuwa marafiki,ama kwa sababu unamtimizia mahitaji yake n.k)
Lakini kiuhalisia unakuta moyoni mwake hakupendi"siyo kwa sababu hufai"Hapana!!
Ila ni kwasababu hitaji la kihisia la moyo wake halijatimia.Kama ilivyokwako unapohisi hupendwi kwa dhati.
Hivyo kabla hujajithibitisha na undani wa hisia za mwanamke juu yako.Hupaswi kuhitimisha mapenzi yako juu yake na kuamini anakupenda ama kulazimisha upendwe usipopendwa!
~~~~~~~~~~~~~~~
Kuhusu hatima ya mahusiano yako ya sasa!
Usiumize kichwa,si njema tena,mwache Mwl.aendelee na maisha yake.Usimchukie!!!
Chakufanya(kama kweli umedhamiria unataka kuoa):Kaa,Tulia,fikiria,walau mpaka mweziJanuary mwakani.(ktk hichi kipindi hakikisha unakuwa mwenye Fraha,kula vizuri,vaa vizuri pendeza kwa sana,mazoez n.k)
Huku ukijiuliza.
a)Unahitaji mwanamke wa aina gani(sifa zake)
b)Anapatikana wapi(chuon,kazini,sehem za starehe,kanisan,mjini,kijiji n.k)
Anza kumtafta kwa kutembelea hayo maeneo anzisha urafiki wa kawaida na wadada mbalimbali bila kuonesha mihemko ya kuwataka kimapenzi.
Kati yao angalia mwenye sifa unazotaka,mwoneshe upendo,akikupenda,mweleze ukweli wako.Mkielewana oa!!!