uko sahihi chief..jamaa amelowa kwa manziWeusi washasema kaa kijanja uskae kiree! Ila mwamba naona yupo kiree, yani mie niwe na kipato cha uhakika nimnyenyekee demu? Maishaaa..!!!
Sema nn mwamba anaonekana nice guy, huwa wanauzaga CV mapema mno easy kupelekeshwa!
P na k si pk bubble gum??kumbe hunipendi ndo maana unaniagaga mchana mie najua wapumzika, dah sitasahau ulivyonjibu P. na K! Dah kumbe unipendi jmn inauma sana!
Unamdanganya mwenzioAnarekebishika huyo mbona...kaa uongee nae...kuna wengine ni vichwa nazi hawaelewi kitu![]()