Moyo unabubujika machozi

Moyo unabubujika machozi

Pole dear,,
Mara ya pili hii umekuja kulalamika humu kuhusu ndoa yako

Ningependa kukutia Moyo,,hiyo changamoto unayopitia sio wa kwanza wewe kupita.
Piga moyo konde,,katika ndoa Kuna shida na Raha,,,Kuna milima na mabonde

Ongeza imani yako kwa Mungu,
Mungu amekuona unaweza ndo maana amekupitisha hapo mwisho utang'aa Kama dhahabu

Kwa Sasa usijibu chochote kwanza,tuliza akili yako
Maneno kwa binadamu mwenye kinywa Ni kawaida
Jifunze kunyamaza


All in all so sorry dear sisy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana dada, wanaume mara nyingine tunakuwa kama vichaa na hasa tukishagundua mnatupenda halafu kwa pembeni tukawa na vi michepuko.

Kaza roho, omba sana mwenyezi Mungu akuvushe katika hili.... Lakini kwanini umpende asiekupenda wakati si baba yako wala mama yako? Ukiona umechoka achana nae fanya yako ila atakuja kukukumbuka maana sasa hivi kuna mahali kakamatwa.

Pole sana kwa mara nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cry all you need darling. Cry your heart out, ila ukishamaliza promise yourself you will never shed tears over the same man again.

Sisi wanawake, when we love, we love for real. Na ndo maana tukiachwa huwa hatuelewi. We still believe there is a chance ya kurekebisha mambo and to try again.

Ila wenzetu wapo tofauti and especially when they meet someone new. It's easy for them to move on.

Kubali yaishe sweets. Kubali kwamba umefika mwisho and he will no longer be happy with you. Na wewe kubali kwamba hutawahi kuwa happy kuishi na mtu ambae moyo wake upo kwingine. Let him go.

Kama una watoto, focus more on them. Kama umeajiriwa weka na kamradi kengine ka kukuweka bize. You are going to be okay. Usijiulize watu watakuonaje. Wewe sio wa kwanza kuachika na sio wa mwisho.

It's just a matter of time atakuja kukugongea wanting to come back. Hapo umesha move on na kukutana na mtu anaekupenda na kukuthamini.
 
Pole sana ila jitahidi kotokaa pekeako pia jiweke bize na vikazi kazi itakusaidia kupunguza mawazo. Na kuhusu mwenzio ni vizuri wewe ukawa na jibu toka moyoni kwasababu ndoa haina mwalimu.
 
Pole dear,,
Mara ya pili hii umekuja kulalamika humu kuhusu ndoa yako

Ningependa kukutia Moyo,,hiyo changamoto unayopitia sio wa kwanza wewe kupita.
Piga moyo konde,,katika ndoa Kuna shida na Raha,,,Kuna milima na mabonde

Ongeza imani yako kwa Mungu,
Mungu amekuona unaweza ndo maana amekupitisha hapo mwisho utang'aa Kama dhahabu

Kwa Sasa usijibu chochote kwanza,tuliza akili yako
Maneno kwa binadamu mwenye kinywa Ni kawaida
Jifunze kunyamaza


All in all so sorry dear sisy

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante japo ni ngumu kumeza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikajua mnatuumiza sisi tu... anyway pole sana.
 
Cry all you need darling. Cry your heart out, ila nishamaliza promise yourself you will never shed tear over the same man again.

Sisi wanawake, when we love, we love for real. Na ndo maana tukiachwa huwa hatuelewi. We still believe there is a chance ya kurekebisha mambo and to try again.

Ila wenzetu wapo tofauti and especially when they meet someone new. It's easy for them to move on.

Kubali yaishe sweets. Kubali kwamba umefika mwisho and he will no longer be happy with you. Na wewe kubali kwamba hujawahi kuwa happy kuishi na mtu ambae moyo wake upo kwingine. Let him go.

Kama una watoto, focus more on them. Kama umeajiriwa weka na kamradi kengine ka kukuweka bize. You are going to be okay. Usijiulize watu watakuonaje. Wewe sio wa kwanza kuachika na sio wa mwisho.

It's just a matter of time atakuja kukugongea wanting to come back. Hapi umesha move on na kukutana na mtu anaekupenda na kukuthamini.
Mama ma wanaume tunapenda kwer kwer
mim nanyamaza t
niliwah penda manzi alichofanya heri ya nin

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cry all you need darling. Cry your heart out, ila nishamaliza promise yourself you will never shed tear over the same man again.

Sisi wanawake, when we love, we love for real. Na ndo maana tukiachwa huwa hatuelewi. We still believe there is a chance ya kurekebisha mambo and to try again.

Ila wenzetu wapo tofauti and especially when they meet someone new. It's easy for them to move on.

Kubali yaishe sweets. Kubali kwamba umefika mwisho and he will no longer be happy with you. Na wewe kubali kwamba hujawahi kuwa happy kuishi na mtu ambae moyo wake upo kwingine. Let him go.

Kama una watoto, focus more on them. Kama umeajiriwa weka na kamradi kengine ka kukuweka bize. You are going to be okay. Usijiulize watu watakuonaje. Wewe sio wa kwanza kuachika na sio wa mwisho.

It's just a matter of time atakuja kukugongea wanting to come back. Hapi umesha move on na kukutana na mtu anaekupenda na kukuthamini.
Asante, ni maneno marahisi kusema but maneno magumu sana kutenda hasa kama ulipenda kweli,

But asante kwa ushauri na faraja hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa inatokea kupenda usikopendwa, mimi sintokuwa wa kwanza kwenye hii dunia.

Asante
Pole sana dada, wanaume mara nyingine tunakuwa kama vichaa na hasa tukishagundua mnatupenda halafu kwa pembeni tukawa na vi michepuko.

Kaza roho, omba sana mwenyezi Mungu akuvushe katika hili.... Lakini kwanini umpende asiekupenda wakati si baba yako wala mama yako? Ukiona umechoka achana nae fanya yako ila atakuja kukukumbuka maana sasa hivi kuna mahali kakamatwa.

Pole sana kwa mara nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kuwa hamna kuhani mkuu asiyeweza kuchukuana nasi katika mambo yetu ya udhaifu; bali yeye alijaribiwa sawasawa na sisi katika mambo yote, bila kufanya dhambi.
Basi na tukikaribie kiti cha neema kwa ujasiri, ili tupewe rehema, na kupata neema ya kutusaidia wakati wa mahitaji.

Waebrania 4:15-16
 
Huyo karopoka tuu, huenda yeye bado moyo wake haujawa tayari myajenge upya. Sasa ww kinachokuuma ni nn? May be hayo maneno yana ukweli ndo mana umeumia mpk unalia. Siku zote ukweli huuma.

Pia ili upate ushauri mzuri humu ni vyema tupate stori kamili why kulitokea mifarakano kweny ndoa yenu, sababu kuanza kumuhukumu huyo mmeo kwa hayo maneno machache sio sahihi, tungesikia stori za pande zote ndo tungeelewa nani ana shida na nani hana. What if ww ndo mwenye makosa ila umekuja humu kutafuta mass sympathy?

BTW pole sana kwa misukosuko ya ndoa yako, Mungu atawajalia muwe pamoja tena.
 
Ushauri wako uko biased, hujasikiliza pande zote. Umejudge kwa kusikia one side only.
Cry all you need darling. Cry your heart out, ila ukishamaliza promise yourself you will never shed tears over the same man again.

Sisi wanawake, when we love, we love for real. Na ndo maana tukiachwa huwa hatuelewi. We still believe there is a chance ya kurekebisha mambo and to try again.

Ila wenzetu wapo tofauti and especially when they meet someone new. It's easy for them to move on.

Kubali yaishe sweets. Kubali kwamba umefika mwisho and he will no longer be happy with you. Na wewe kubali kwamba hutawahi kuwa happy kuishi na mtu ambae moyo wake upo kwingine. Let him go.

Kama una watoto, focus more on them. Kama umeajiriwa weka na kamradi kengine ka kukuweka bize. You are going to be okay. Usijiulize watu watakuonaje. Wewe sio wa kwanza kuachika na sio wa mwisho.

It's just a matter of time atakuja kukugongea wanting to come back. Hapo umesha move on na kukutana na mtu anaekupenda na kukuthamini.
 
Sometimes wanawake mnazingua bhana, Isikute hapo wewe ndo ulizingua, ulikuwa chanzo kupelekea ndoa yenu kuvunjika sasa unavuna ulichokipanda ulie tuu coz hakuna namna uliyataka mwenyewe wacha uisome namba. wanawake soma hiyoooooo........!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom