Jamani mbona hukunitag mrembo...... ShunieMtunzi Nyemo Chilongani sehemu ya 01
Gari aina ya Lamborghini Centenario LP 770 nyekundu yenye thamani ya zaidi ya dola laki tano ambazo zilikuwa ni zaidi ya bilioni moja lilisimama nje ya Ukumbi wa Mlimani City uliokuwa jijini Dar es Salaam.
Waandishi wa habari waliokuwa mahali hapo kwa ajili ya kuripoti Mashindano ya Miss Tanzania wakaanza kulisogelea gari hilo huku wakiwa na kamera zao mikononi mwao.
Walimfahamu mtu aliyekuwa ndani ya gari hilo, walihitaji kupata picha kadhaa kwa ajili ya magazeti yao, tovuti na hata mitandao ya kijamii.
Hata kabla ya mtu kuteremka, wakaanza kupiga picha mfululizo, hakukuwa na mwandishi aliyekuwa radhi kuondoka mahali hapo, kila mmoja alihitaji kupata japo picha moja tu ya sura yake.
Baada ya kukaa kwenye gari kwa sekunde zaidi ya hamsini, hatimaye mlango ukafunguliwa na msichana mrembo, mwenye sura nyembamba, mrefu na kidoti pembeni ya pua yake, akateremka na kutoa tabasamu pana.
Alivalia gauni refu jekundu la kumeremeta mpaka chini, viatu vilivyokuwa na visigino virefu, shingoni alikuwa na cheni ya kike iliyoonekana kuwa ya dhahabu kabisa huku kwenye mkono wake wa kushoto akiwa na saa ya thamani aina ya Rolex aliyoinunua nchini Ufaransa alipokuwa akiishi.
Msichana huyu aliitwa kwa jina la Violeth Joseph Zilikana. Alikuwa mmoja wa wanawake waliokuwa na uzuri wa ajabu nchini Tanzania.
Alikuwa maarufu na aliyekuwa na pesa nyingi, alikwenda sehemu yoyote aliyotaka duniani, alipewa mialiko mingi kutoka sehemu mbalimbali kutokana na kazi ya mitindo aliyokuwa akiifanya.
Umaarufu wake ulikuwa mkubwa mno, alijua kupendeza, watu wengi walimpenda na kutamani sana kuwa naye lakini kwa sababu mume wake alifariki dunia, hakuwa tayari kuingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na mwanaume yeyote yule.
View attachment 944998
Maa mambo yanabana kiasi ndo maana.Kwa nn mpite kimyakimya jamani mm najua haina wasomaji
Halafu yule ninayemuona insta kaweka dp kama avatar yako wi ww eenh namuona sana kwa page za umbea
Sante shunie ake.Pole carba akee kwa kubanwa mpenzi basi nilijua wewe nikasema nitakuuliza
Khaaa mbebe wa nini tena,me simtaki jamanUje makapuku nimekutafutia mbebe ujue uache kuteseka anakusubiri uko
Ndugu yangu weeee jamanWalishaachana yupo mpweke amesema anahitaji faraja na imeshapatikana
nakupenda wewe kipenzi changu,wala siwezi kukuacha
Alafu haya majina yako sasaHapana my
kwani nani kakuambia hivyo?
nawe umeanza eehNimeona hapo juu eti umetalikiwa
Eiiish
Jamani kipenzi changu.Alafu haya majina yako sasa
Sawa kipenzi changu.nakupenda wewe kipenzi changu,wala siwezi kukuacha
haya endeleaJamani kipenzi changu.
Mbona jina halina shida yeyote mpenzi wangu
Sawa kipenzi changu.
Mimi pia siwezi kukuacha hata tupigwe vita kiasi gani
mh
na mie nitaftieWalishaachana yupo mpweke amesema anahitaji faraja na imeshapatikana