Sema kweli jamani ujue umenisisimua tater
bado siamini amini kama ni wewe ndo unayeandika hayaKwakweli Tater alinisisimua nimevuta picha tu ya maneno aliyokuwa anayaongea
Acha umbea wee mwanamke utakuja kumwagiwa majivu ya moto hiyo sura ifanane na ya babu yako.. Shauri yako....



matako yako kwani nimekuja kuwachungulia chumbani jaman,wenyewe mmekuja kujiachia huku,kwanza nahic umemuendea ndugu yangu kwa babuhuku nittarudi tena mwakani jamanYaan tater kwa nn lakini siku nyingine usirudie utakuja bakwa
matako yako kwani nimekuja kuwachungulia chumbani jaman,wenyewe mmekuja kujiachia huku,kwanza nahic umemuendea ndugu yangu kwa babu
Sent using Jamii Forums mobile app






nimesema nitaingia tena hapa hadi mwakani,niacheni wewe na tetar wako
Kaniendea kwa babu tena




Kwahiyo yule shemeji yangu ndo umemuacha hivyoWe mama k usinichoshe tusichoshane simu yangu na nimeandika mwenyewe una shida gani kwani
Eiiishnimesema nitaingia tena hapa hadi mwakani,niacheni wewe na tetar wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan tater kwa nn lakini siku nyingine usirudie utakuja bakwa
Khaaaa kivuruge weeeeh
Sasa kwani mm tater namtaka si amenisisimua tu