Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,746
- 25,638
Uleeeeeeeeeeee mwanawaneHalafu ww utakuwa karim
Uleeeeeeeeeeee mwanawaneHalafu ww utakuwa karim
Ndi ameniunganishiaKhaaaa umeunganishwa id
aongea taratibu wasisikie wasije wakaniunganisha tenaYaan Karim ww jamani si walikuunganisha na I'd yako ya mwanzo
Alinishtukia mwenyewe aisee akasema huyu ni Kanungila msumbufu sana huyuHahahahaha ilikuwaje kwani
Ndiyo hivyo bhana mzee ananifuatilia usiku na mchana humuhumuHahaha mm nashangaa kurudi kukujibu nakutana na Karim kuiview ban nikasema ooh ameshaunganishwa
NimeshaachaPole mnoo na ww upunguze utundu
njoo mara moja tu nikupe contacts shunie,,Sasa mm mobutu pm situmii kabisa ujue
😍 uvumilivu umenishindaMobutu bwana
Ndio nipo tayari 😍😘Hahahha
Mm mke wa mtu unataka kuwa mitala au
Trust me.wala Mimi sio kiben10 pia sio muhenga ni age mate wako kabisaaà. Njoo shunie tuyajenge mtoto mzuri Kama wewe unahitaji kupendwa na kutunzwa.😘Hahahahah Mobutu bwana umenishinda tatizo na ww kiben10 sasa
Hahhaahha wewe sio agemate wangu mm mtu mzima sana nakusomaga sana ujue yaan bado kiben10
Trust me.wala Mimi sio kiben10 pia sio muhenga ni age mate wako kabisaaà. Njoo shunie tuyajenge mtoto mzuri Kama wewe unahitaji kupendwa na kutunzwa.![]()


