marybaby
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 3,260
- 9,197
Mi ngoja nisherehekee mwaka kwanza.
Kesho ntarudi hapa,napata tabu kukubali hiyo 50/50
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesho ntarudi hapa,napata tabu kukubali hiyo 50/50
Mbona hata wanawake wanaoumiza bila sababu wapo wengi tu ... " hii mada ukitaka ui-jadili kwa fact unapaswa kuweka mbali mahaba ya kijinsia ya jinsia yako kando kwanza ... kisha uanze kuzitazama hizi changamoto zinazo sababishwa na hizi jinsia zote 2 katika Jamii .. ndio utakubaliana na mimi .. kinyume na hapo ..utaishia kubishana tu mkuu ..without logic consistent ...
Mkuu wanaume huwa tunaumizwa sana " ila huwa tunaficha" kwa sababu hatutaki kuonekana kuwa sisi ni viumbe dhaifu .. na ndio huwa tunakufa mapema pia kwa sababu huwa tuna ubebesha moyo mambo mengi ambayo mwisho wa siku huwa yanalipuka na kuzalisha maradhi na kuathiri mfumo mzima wa uzalishaji kinga za mwili .(hili haswaa huwa linachangiwa na uwepo wa stress za muda mrefu baada ya kufanyiwa ndivyo sivyo " na nyinyi "
Narudi kwenye msimamo wangu "
Men lier " Woman lier hakuna mwenye nafuu mkuu "
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app



Heri ya mwaka mpya mama kheri na baraka kwako na familia.



