idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,298
- 38,438
tukiacha teknolojia hata wao tu hawapo serious...kuna vitu vingine vinahitaji akili tu na kujiongeza..kwa mfano kuna movie ya kibongo nikaona eti jini linaagiza redbull bar na wakati wa kuvuka barabara jini linaangalia kulia na kushoto...sasa hapo si hata mtoto mdogo ataona they are not serious!!!
Umenivunja mbavu na hio story ya jini linaloogopa magari.