Movie za Bongo Siziwezi

Movie za Bongo Siziwezi

uzuri wake movie inapoanza tu unajua itaishaje...so unaforward tu hadi last page
 
bongo movie S.Africa hapo inahusikaje sasa!
Aise.
Thats why nimasema hii inakuja kumshika kila mtu.
It is real BONGO MOVIE mkuu.
Hii itachezwa sehemu(nchi)tatu tofauti na lengo ni kuleta uhalisia wa story hii ambayo kwa mpenda filamu za hii itakua ni fursa nzuri kuona filamu ya kibongo iliyo kamilika.
 
Aise.
Thats why nimasema hii inakuja kumshika kila mtu.
It is real BONGO MOVIE mkuu.
Hii itachezwa sehemu(nchi)tatu tofauti na lengo ni kuleta uhalisia wa story hii ambayo kwa mpenda filamu za hii itakua ni fursa nzuri kuona filamu ya kibongo iliyo kamilika.

Mkuu mjeda wa Tabora upo?
 
Aise.
Thats why nimasema hii inakuja kumshika kila mtu.
It is real BONGO MOVIE mkuu.
Hii itachezwa sehemu(nchi)tatu tofauti na lengo ni kuleta uhalisia wa story hii ambayo kwa mpenda filamu za hii itakua ni fursa nzuri kuona filamu ya kibongo iliyo kamilika.

basi ikishatoka nistue....
 
Usiombe wakuoneshe mtu ana mawazo, basi atajikunyata hapo, atatikisa kichwa, atasonya, bila dakika tatu kwisha habanduki hapo, bila kusahau background music sauti juu kuliko maneno, halafu mziki mmoja mbaya tangu mwanzo mpaka.mwisho wa sinema, na kuiga sana unaijeria.

kaka luka basi inatosha,onea huruma mbavu zangu mkuu.vp mitikasi lakini.habari za masiku.

twende kwenye mada:kuna hili tatizo la noise ktk movie zetu,mbaya zaidi sio real noise bali ni fake noise japo noise ni noise.

mfano scene inaonyesha ni usiku mtulivu na wahusika wapo chumbani wamelala,nje inasikika sauti ya vitoto nyumba ya jirani vinacheza,au unasikia sauti ya mtu anayetembeza sumu ya panya(sumu ya panya,nge, sisimizi,vitorobotooooo...).

unajiuliza ni watoto gani wanaocheza kimamama usiku wa manane?,au ni muuza sumu ya panya yupi anayetembeza bidhaa usiku mnene!!!.
hilo peke yake linaondoa uhalisia wa movie.

najua kuna mamia ya vigezo vinavyofanya "bongomuvizi" ziwe duni kiubora.wahusika wameshikiria kuibiwa kazi zao,waibiwe kwa ubora upi?.

siku nikititulia nitaeleza nini kifanyike ili movie za wabongo ziwe bora hata kama ni low- budget movie.
 
Bongo hawawezi kuwa na movie nzuri ikiwa wasanii wake wote wako pale kwa kujiuza tu na kulana uroda huko location kiasi kwamba wanasahau hata lines zao na kubaki kuboronga tu.
 
Njoo nikupe Series za Kaole enzi hizooo..haziishi hamu kuzitazama....achana na hawa waliofeli umiss Temeke,Kino na Ilala hata Miss Tz wameharibu kila kitu.....tatizo wameshindwa kufanya shughuli zingine wamekuja kutokea kwenye movies
 
kaka luka basi inatosha,onea huruma mbavu zangu mkuu.vp mitikasi lakini.habari za masiku.

twende kwenye mada:kuna hili tatizo la noise ktk movie zetu,mbaya zaidi sio real noise bali ni fake noise japo noise ni noise.

mfano scene inaonyesha ni usiku mtulivu na wahusika wapo chumbani wamelala,nje inasikika sauti ya vitoto nyumba ya jirani vinacheza,au unasikia sauti ya mtu anayetembeza sumu ya panya(sumu ya panya,nge, sisimizi,vitorobotooooo...).

unajiuliza ni watoto gani wanaocheza kimamama usiku wa manane?,au ni muuza sumu ya panya yupi anayetembeza bidhaa usiku mnene!!!.
hilo peke yake linaondoa uhalisia wa movie.

najua kuna mamia ya vigezo vinavyofanya "bongomuvizi" ziwe duni kiubora.wahusika wameshikiria kuibiwa kazi zao,waibiwe kwa ubora upi?.

siku nikititulia nitaeleza nini kifanyike ili movie za wabongo ziwe bora hata kama ni low- budget movie.

Niko poa Kadoda, umesharudi bongo?

Tatizo sidhani kama hawa watayarishaji wa hizi tunazoita muvi wana muda wa kutembelea majukwaa kama haya ili kupata feedback ya kazi zao but its about time we changed jamani. Tusilazimishane tu kupenda visivyopendeka. Hiyo ishu ya sumu ya panya imeniacha hoi mkuu hahaha, umeua. Tutafutane kaka.
 
Mtu director,producer, screen play vyote vimeandikwa anafanya mtu mmoja!!!wanaigeria wametuacha sana binafsi nazifuatilia sana movie zao na cjawah kuchek nikawa bored..bongo movie hawapo serious na n conservantist kwa ujumla..
 
Tukubali tukatae utandawazi pia unachangia sana tuone vyetu havifai. Na hii inatokana na ukweli kwamba tunajifananisha na wenzetu walio tutangulia hatua 1000 mbele yetu. Ulinganishaji huu haupo fair hata kidogo. Nakumbuka Enzi hizo kuna Maigizo ya mambo hayo jahazi ya kaole ya kina bishanga waridi sekioni kusema ukweli ilikuwa inavutia wengi sana kutokana na ukweli kwamba ni wachache sana miongoni mwa wana jamii walikiwa na Access ya kuangalia movie za nje. If am wrong katikati ya miaka ya 2000 hadi 2005 movie za ki Nigeria tulikuwa tuna zi appreciate sana kina Ramsey Noah Geneviev ila ni Wangapi leo wanazikubali hizi movie? Hata za kina bishanga leo hazina mvuto wakati enzi hizo zilikuwa ndo zenyewe. Nilikuwa nawaona wasanii hawafanyi vizuri lakini kusema ukweli tunapojilinganisha na wa nje ni sawa sawa na Timu ya taifa stars Vs Germany au Diamond Vs jay z huu ni uonevu wa hali ya juu. Imagine bongo movie 10 years ago ilikuwaje na imagine itakuwa vipi miaka 10 kutoka sasa.

tukiacha teknolojia hata wao tu hawapo serious...kuna vitu vingine vinahitaji akili tu na kujiongeza..kwa mfano kuna movie ya kibongo nikaona eti jini linaagiza redbull bar na wakati wa kuvuka barabara jini linaangalia kulia na kushoto...sasa hapo si hata mtoto mdogo ataona they are not serious!!!
 
Niko poa Kadoda, umesharudi bongo?

Tatizo sidhani kama hawa watayarishaji wa hizi tunazoita muvi wana muda wa kutembelea majukwaa kama haya ili kupata feedback ya kazi zao but its about time we changed jamani. Tusilazimishane tu kupenda visivyopendeka. Hiyo ishu ya sumu ya panya imeniacha hoi mkuu hahaha, umeua. Tutafutane kaka.

nilichoka kuna siku nlikua mbeya nikawa nasikiliza radio moja inaitwa bomba fm...marehemu kanumba alikua anafanyiwa interview...mtangazaji akamuuliza "kwa mwaka unaweza kufanya movie ngapi zako binafsi na za kushirikishwa" jibu lake likawa"nina uwezo wa kufanya movie zangu mwenyewe kila baada ya miezi miwili na za kushirikishwa naweza kufanya hata mbili kwa mwezi" jibu lake lilinipa majibu ya maswali yangu yote kwa nini bongo movies hazivutii.
 
Mimi huwa naziangalia ili nicheke maana vilivyomo humo ni vitimbi mwanzo mwisho kama hicho cha jambazi kuvua viatu mlangoni asichafue nyumba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom