MatikaC
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 1,190
- 479
5. ray ndio anaharibu kabisaa hizi filamu. makelele yasiyo na tija
hadi kupiga kelele anasoma script....eti mama wee, mama wee...lol!
5. ray ndio anaharibu kabisaa hizi filamu. makelele yasiyo na tija
Aise.bongo movie S.Africa hapo inahusikaje sasa!
Aise.
Thats why nimasema hii inakuja kumshika kila mtu.
It is real BONGO MOVIE mkuu.
Hii itachezwa sehemu(nchi)tatu tofauti na lengo ni kuleta uhalisia wa story hii ambayo kwa mpenda filamu za hii itakua ni fursa nzuri kuona filamu ya kibongo iliyo kamilika.
Aise.
Thats why nimasema hii inakuja kumshika kila mtu.
It is real BONGO MOVIE mkuu.
Hii itachezwa sehemu(nchi)tatu tofauti na lengo ni kuleta uhalisia wa story hii ambayo kwa mpenda filamu za hii itakua ni fursa nzuri kuona filamu ya kibongo iliyo kamilika.
Yes mkuu!Mkuu mjeda wa Tabora upo?
basi ikishatoka nistue....
Usiombe wakuoneshe mtu ana mawazo, basi atajikunyata hapo, atatikisa kichwa, atasonya, bila dakika tatu kwisha habanduki hapo, bila kusahau background music sauti juu kuliko maneno, halafu mziki mmoja mbaya tangu mwanzo mpaka.mwisho wa sinema, na kuiga sana unaijeria.
Ivi ni lazma kwa movie za kibongo mlinzi awe ka chizi ivi?!
Nigeria wanajitahidi kuigza uhalisia
kaka luka basi inatosha,onea huruma mbavu zangu mkuu.vp mitikasi lakini.habari za masiku.
twende kwenye mada:kuna hili tatizo la noise ktk movie zetu,mbaya zaidi sio real noise bali ni fake noise japo noise ni noise.
mfano scene inaonyesha ni usiku mtulivu na wahusika wapo chumbani wamelala,nje inasikika sauti ya vitoto nyumba ya jirani vinacheza,au unasikia sauti ya mtu anayetembeza sumu ya panya(sumu ya panya,nge, sisimizi,vitorobotooooo...).
unajiuliza ni watoto gani wanaocheza kimamama usiku wa manane?,au ni muuza sumu ya panya yupi anayetembeza bidhaa usiku mnene!!!.
hilo peke yake linaondoa uhalisia wa movie.
najua kuna mamia ya vigezo vinavyofanya "bongomuvizi" ziwe duni kiubora.wahusika wameshikiria kuibiwa kazi zao,waibiwe kwa ubora upi?.
siku nikititulia nitaeleza nini kifanyike ili movie za wabongo ziwe bora hata kama ni low- budget movie.
Tukubali tukatae utandawazi pia unachangia sana tuone vyetu havifai. Na hii inatokana na ukweli kwamba tunajifananisha na wenzetu walio tutangulia hatua 1000 mbele yetu. Ulinganishaji huu haupo fair hata kidogo. Nakumbuka Enzi hizo kuna Maigizo ya mambo hayo jahazi ya kaole ya kina bishanga waridi sekioni kusema ukweli ilikuwa inavutia wengi sana kutokana na ukweli kwamba ni wachache sana miongoni mwa wana jamii walikiwa na Access ya kuangalia movie za nje. If am wrong katikati ya miaka ya 2000 hadi 2005 movie za ki Nigeria tulikuwa tuna zi appreciate sana kina Ramsey Noah Geneviev ila ni Wangapi leo wanazikubali hizi movie? Hata za kina bishanga leo hazina mvuto wakati enzi hizo zilikuwa ndo zenyewe. Nilikuwa nawaona wasanii hawafanyi vizuri lakini kusema ukweli tunapojilinganisha na wa nje ni sawa sawa na Timu ya taifa stars Vs Germany au Diamond Vs jay z huu ni uonevu wa hali ya juu. Imagine bongo movie 10 years ago ilikuwaje na imagine itakuwa vipi miaka 10 kutoka sasa.
Niko poa Kadoda, umesharudi bongo?
Tatizo sidhani kama hawa watayarishaji wa hizi tunazoita muvi wana muda wa kutembelea majukwaa kama haya ili kupata feedback ya kazi zao but its about time we changed jamani. Tusilazimishane tu kupenda visivyopendeka. Hiyo ishu ya sumu ya panya imeniacha hoi mkuu hahaha, umeua. Tutafutane kaka.