warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,213
- 18,455
akitembea kwenye sakafu kishindo kipungue.
Yes, mimi sijaona cha ajabu alichofanya huyo jambaz, au walitaka akimbie au avae viatu vya kijesh ndo aonekane jambaz? Jambaz anaweza kuvaa ata suti
akitembea kwenye sakafu kishindo kipungue.
Ni kulialia, kufokeana, kuonyesha magari, tena kama wapo njiani utasubiri mpaka wafike.
Na kama ni mgonjwa wataonyesha mpk anavyotapika.
... siziwezi aisee !