kuna power bank siku hizi mkuu.huna haja ya kutembea na batri na mbili/tatu.ukiwa safarini unakuwa hewani mda wote.
Sawa mkuu, asante kwa kuniongezea maarifa zaidi.
kuna power bank siku hizi mkuu.huna haja ya kutembea na batri na mbili/tatu.ukiwa safarini unakuwa hewani mda wote.
Hivi watanzania nani kawaroga mpaka vya kwenu hata kama si vizuri mpaka mnavikataa? Hivi ni kweli kwamba hata vichwa vyenu tayari navyo vimebinafisishwa? Acheni ushamba wa kudharau kwenu na kutamani vya nje. Cha ajabu huko Ulaya au America hawashobokei za kwenu kama mnavyofanya nyinyi/ninyi. Mjilaumu wenyewe na mje na suluhu nini kifanyike kuboresha movie za ndani
Ni kulialia, kufokeana, kuonyesha magari, tena kama wapo njiani utasubiri mpaka wafike.
Na kama ni mgonjwa wataonyesha mpk anavyotapika.
... siziwezi aisee !
Jambazi anavua viatu????
Hakuna uhalisia hata kidogo
kuna moja jana nimekuta inatazamwa home sijui inaitwaje ile,,,,,,,,,,jamaa kasema NIPO NA WEWE BEGA KWA BEGA subtitle yake sasa I WILL BE WITH YOU SHOULDER TO SHOULDER,,,,,,,,!!!!
Na Mimi Mkuu Jana nilipigwa bumbuazi, kuna moja niliikuta kwenye mwaliko Wa Eid-el-fitr ikawa inasemwa LAZIMA ATAKUWA JINI kiingereza chake kikasema SHE MUST BE A GENIE! Kwa kweli nilikuwa sijui kama JINI kiingereza chake ni GENIE!
Kwa kwelii movie zao hazivutiii kabisaaaaa
movie ya kibongo zipo nzuri tujifunze kuheshimu vya kwetu.
mfano movie ya KIGODORO.
Muvi za kibongo ni lazma kuwe na sini watu wawili mwanamke na mwanaume wanafanya shopping katika duka la nguo au wapo bichi.
Jambazi anavua viatu????
Hakuna uhalisia hata kidogo