Previous
Senior Member
- Aug 18, 2017
- 117
- 132
Kama una link ya kuipata nisaidieUnaidownload tu
Kama una link ya kuipata nisaidieUnaidownload tu
Mr BonesKuna muvi naomba mnisaidie niya south africa ni comedy kuna kipande jamaa aliingiza kichwa sehemu ya haja kubwa ya Tembo
na sio tembo,, ni faruKuna muvi naomba mnisaidie niya south africa ni comedy kuna kipande jamaa aliingiza kichwa sehemu ya haja kubwa ya Tembo
Eeeh waaaah io io bhn naomb jina lakena sio tembo,, ni faru
na sio tembo,, ni faru
Are you talking about Mr Bones?Eeeh waaaah io io bhn naomb jina lake
Are you talking about Mr Bones?
If the answer is yes basi jamaa aliingiza mkono kwa tembo.
View attachment 1635051
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kweli roho ngumu ngumu kama sisi ndo huoni choz ila niliangalia na mtu ikamshinda kuimalizaKuna hii ya kusikitisha/ kuhuzunisha ila kuhusu kuweza kukuliza sina hakika- ni ya kituruki kwa tafsiri isiyo rasmi "Miracle in the Cell No. 7 celda"
Nimetafuta hizi movie nimezikosa naomba mwenye linki anisaidie niweze kuzidownload
Mr Bones 2
Mama Jack
American gangster, who made the potato saladWazee naombeni list ya movie za mablack za kinyama ...kazi kama deuces,cut throat ,au true to the game ivi...
Mkuu tupe japo hata kijimuhstasari cha hiyo series...Maana wengine vichwa ngumu kuelewa movie mpaka tuhadithiweKatika maisha yangu huwa nadhani moja ya vitu ninavyopenda ktk ulimwengu wa entertainment upande wa movies n series ni kuangalia zenye maadhi ya kusikitisha na si kusikitisha tu kikawaida ila napenda kuangalia movie/series initoe machozi kweli kweli.
Napenda movie/series za namna hii maana zina mafunzo mengi sana ndani yake ambayo si ya kuigiza ila unaona kbsa hii movie/series akili ilitumika ktk utungaji wa story na ktk story hizo huwa naondokaga na mafunzo makubwa sana ya maisha.
Kwa sasa naangalia drama moja ya korea inaitwa BAD THIEF,GOOD THIEF naenda mwishoni sasa ila kusema ukweli hii movie imeniliza zaidi ya mara 5 yani unaangalia movie inafika mahali unaweka pause kidogo Unalia weeee then ukimaliza unarudi unaendelea iangalia.
sitamani kukosa movie ya kuangalia baada ya hii kuisha naomba yeyote anaejua series/movie yenye mahadhi ya namna hii anisaidie kunipa Jina tu la hiyo movie,namba isiwe movie yenye mabunduki mabunduki.
NOTE: iwe inaliza kweli kweli,sio niishie kusikitika tu na kuwaonea huruma,movie flani ambayo ukiiangalia unaishia tu kushusha machozi na kutafakari maisha yalivyo,binadamu walivyo,nk vitu vya namna hiyo.
Asanteni kwa wote mtakaochukua muda wenu ku comment jina la movie,naweza nisikushukuru kwenye comment ila naomba yeyote ataechuka muda wake kunitajia tu aina hiyo ya movie nimpe Asante na Mungu alie juu akubariki.
kuhadithia movie sasa ndio kipengele mkuu,tena kwa kuandika ndio kabisaa bora tungekua tunaongea.Mkuu tupe japo hata kijimuhstasari cha hiyo series...Maana wengine vichwa ngumu kuelewa movie mpaka tuhadithiwe
Sent from my HUAWEI CUN-L01 using JamiiForums mobile app
ni ya ki turkish au korea hiyo movie?Hii kweli roho ngumu ngumu kama sisi ndo huoni choz ila niliangalia na mtu ikamshinda kuimaliza
Turkishni ya ki turkish au korea hiyo movie?