Movie 🎦 night 🌃

Movie 🎦 night 🌃

wakisha kusanya pesa za kutosha kwenye theater wanaweza kuiachia, nahisi kama sio mwezi wa kumi na moja basi wa kumi, au mzuka ukizidi naiangalie hivyo hivyo ile ambayo sio Hd
Yes angalia tu mkuu Nenda kwenye libraries utapata zenye unafuu
 
wakisha kusanya pesa za kutosha kwenye theater wanaweza kuiachia, nahisi kama sio mwezi wa kumi na moja basi wa kumi, au mzuka ukizidi naiangalie hivyo hivyo ile ambayo sio Hd

wanaoachia ni wale wanaoenda Mwisho mwisho kuangalia Kwenye Theatre. Kwa kuwa watu wanakuwa wachache . Bas na wao wanapata nafas nzur ya kutegesha camera zao still na kurekodi Movie nzima mwanzo mwisho bila kugundulika.

Alaf baadae wana duplicate kwenye studio zao Na kusambaza copy
 
Christopher Nolan na mwingine Steven Spielberg wakitoa kitu wametoa wanakaza miaka hawa
Kama disclouser day ushaicheki pale.steven spielberg kaua ile movie ni kali hasa kama unapenda mambo ya conspiracy theory, na Nolan hajawahi kuharibu jamaa sio wa dunia hii kabisa
 
Kama disclouser day ushaicheki pale.steven spielberg kaua ile movie ni kali hasa kama unapenda mambo ya conspiracy theory, na Nolan hajawahi kuharibu jamaa sio wa dunia hii kabisa
Si ndo hapo mwisho naona jina la Mzee nikasema kumbe Katia mguu humu, ipo top sana😁
 
Back
Top Bottom