Movie na series unazozipenda

Movie na series unazozipenda

city hunter,IRIS,athena goddess of war,90210,vampire diaries,secret circle,lying game,V,kyle XY,crime squad,hunted,a man called God,na movies mhh ntajaza hapa
 
iris,covert affairs,chuck,allias,,no ordninary family ni seriez zilizonivutia
 
Charlie's Angels, 24,Nikita, persons of interest etc.
 
L-WORD! Hehehhe

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Series:
1. Game of Thrones
2. Touch
3. The Mentalist
4. Prison Break
5. Breakout Kings
6. Spartacus
7. The Jeffersons
8. Sanford & Son

Movies;
1. Glory
2. The Shawnshank Redemption
3. Good morning Vietnam
4. Guess Who
5. Pride
6. Man of Honor
7. The gods must be crazy
8. Unforgiven
 
MOVIE KALI NI BANGKOK HILTON, HANGOVER NA BOOMERANG, ukiziona utazikubali.
 
naomba mnijulishe je ni series gani inaweza kua nzuri kwa kuangalia kila epsod inaipoisha kama ilivyo prison break na 24 .. iswe ya iwongouwongo (imagimation) . wala iawe kama vampire diary au true blood . iwe yenye ureality . na storry ya maana .
 
kwa kupata entertainment nzuri.. akushauri uagalie Fox kila Monday saa 21pm. kuna series Walkers...(Walking Dead).
imeeenda kiasi.
 
naomba mnijulishe je ni series gani inaweza kua nzuri kwa kuangalia kila epsod inaipoisha kama ilivyo prison break na 24 .. Iswe ya iwongouwongo (imagimation) . Wala iawe kama vampire diary au true blood . Iwe yenye ureality . Na storry ya maana .

tafuta king to heart ya kikorea ndio utajua kwa nini viongozi wetu wananunuliwa kirahisi na mambo ya bifu baina ya kusini na kaskazin,au swalow the sun ndio utajifunza samaki mkunje angali mbichi kwenye malezi ya vijana
 
Kuna hizi zinaitwa Alias na nyengine ni Lost,zitafute ila Prison break hawaiwezi kwa kuwa wahusika karibu wote walipatwa na matatizo kwa njia moja ama nyengine,naikubali sana P.B
Nalog off
 
tafuta king to heart ya kikorea ndio utajua kwa nini viongozi wetu wananunuliwa kirahisi na mambo ya bifu baina ya kusini na kaskazin,au swalow the sun ndio utajifunza samaki mkunje angali mbichi kwenye malezi ya vijana

nashkuru kamanda ntazitafuta ..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom