Movie gani kali! OSAMA ama AMBILIKILE?

Movie gani kali! OSAMA ama AMBILIKILE?

Eeka Mangi

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2008
Posts
3,173
Reaction score
486
Kuna hizi movies zinaendelea! Osama iliyotoka juzi na ya Ambilikile! Ipi itakaa sokoni zaidi?
 
Kuna hizi movies zinaendelea! Osama iliyotoka juzi na ya Ambilikile! Ipi itakaa sokoni zaidi?
mkuu habari za masiku?? Kama vile uliwahi kuaga? Umerudi kimya kimya mkuu hata hodi hubishi?
BACK TO THE TOPIK: Ambilikile bado ipo sokoni ila haiuzi sana kama zamani. Osama ndo imeingizwa sokoni, tuipe muda then tuone kama itampiku Ambilikile.
 
Kuna hizi movies zinaendelea! Osama iliyotoka juzi na ya Ambilikile! Ipi itakaa sokoni zaidi?
Aisee Eeka Mangi acha mzaha bana!, hapa nina abiria 5 wa Samunge namuuzia jamaa nilambe kamisheni! Usimvuruge babu yetu bana, wengine tumefaidika mno nae..huh!
Osama mwache aende salama!
 
tatizo la osama ni kukimbilia loliondo kwa babu kupata kikombe... ndipo wamarekani wakajua anapoishi
 
Zote zilikuwa na script kali, ila director wa ile ya Osama amechemka mapema, actors ovyo na muvi imekosa uhalisia. Ambilikile bonge la muvi, mpaka sasa mauzo yanakaribia Double Platinum...
 
mkuu habari za masiku?? Kama vile uliwahi kuaga? Umerudi kimya kimya mkuu hata hodi hubishi?
BACK TO THE TOPIK: Ambilikile bado ipo sokoni ila haiuzi sana kama zamani. Osama ndo imeingizwa sokoni, tuipe muda then tuone kama itampiku Ambilikile.

Bana nilirudi na hodi nilipiga bana kwa sread ile niliyoaga nayo mkuu. Nimemaliza kile kibarua nlichopewa.
 
tatizo la osama ni kukimbilia loliondo kwa babu kupata kikombe... ndipo wamarekani wakajua anapoishi

Ha ha haaaaaaaaaa mku umeniacha hoi. Si unajua tunaanza muvi part 2. Yaani Ambilikile anahamia kule walikozikwa wafu. Imagine hiyo movie itakuwaje?
 
Aisee Eeka Mangi acha mzaha bana!, hapa nina abiria 5 wa Samunge namuuzia jamaa nilambe kamisheni! Usimvuruge babu yetu bana, wengine tumefaidika mno nae..huh!
Osama mwache aende salama!

PJ nataka kujua tu ipi kali maana naona kama hii ya Ambilikile imebamba ile mbaya. Imekaa sokoni hii. Ila ya huyu jamaa yaani juzi ma-dish yalikuwa mazito kufungua channels lakini leo movie linaanza kuchuja! Ama ilikuwa ya kichina nini?
 
Kwenye soko la kimataifa ya Osama iko juu ila soko la Ndani ya TZ ya Ambilikile ni unbeatable mkuu. Ila nimeshukuru mkoani kwetu tumepata vikombe vya kwetu wawwww
Ilikuwa taabu sana kusafiri kutoka kusini hadi Loliondo aaaah!!! why? mapori tunayo na watu wanalala kwa nini nasi tusioteshwe ndoto bana?. Hawatatuona tena huko Loliondoingawa albamu itaendelea kuwa juu.
 
Bana nilirudi na hodi nilipiga bana kwa sread ile niliyoaga nayo mkuu. Nimemaliza kile kibarua nlichopewa.
Karibu sana. Ila mimi sikusikia ulvyogonga mlango. Nitakucheki bdae tugawane mafao ya kibarua!...lol.
 
Ya babu ilipewa promo kubwa na chama cha magamba ika uza sana laki ilikuwa ni mauzo ya ndani zaidi na ya Osama kwa siku moja mauzo yamevunja records ya kimataifa! Hivyo binafsi ipo juu ya Osama kwakuwa mapromotor ni wengi na wakongwe wa propaganda duniani! Big up Jay Carney!!
 
MOD please ondoa hii thread haina maana yeyote. JF ni mahali pa great thinkers, sasa hi CRAP ya kumlinganisha huyu babu na Osama inatokea wapi. Author amekosa topic ya maana
 
Kali ni Ambilikile manake kila siku season inaendelea tofauti na Osama ambaye abari yake kwishney.

Mcheki Babu Ambi hapa chini, unaweza usimtambue alivyopigwa soap soapna vodacom... kweli pesa ni kila kitu. Babu kawa dili usipime.

 
Kali ni Ambilikile manake kila siku season inaendelea tofauti na Osama ambaye abari yake kwishney.

Mcheki Babu Ambi hapa chini, unaweza usimtambue alivyopigwa soap soapna vodacom... kweli pesa ni kila kitu. Babu kawa dili usipime.


Babu ananyoa saloon gani? Nataka kuongezea babu style kwenye menyu ya saloon yangu
 
Babu kauza jamani, japo anachujachuja kidogo nowdays lakini faida amepata......

Imagine juzi kafikisha kugawa kikombe cha 300,000 x Tshs. 500 (bila VAT) = Tshs. 150,000,000/= net.

Hebu in siriazi tok, how can TRA angalia mtu anafanya biashara iliyomuingizia 150 M ndani ya miezi sita bila kulipa kodi? halafu mimi na kamshahara kangu ka elfu themanini wananikata pai as u en (pay as you earn)?

Lol Babuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Back
Top Bottom