Kuna habari kuwa wafanyakazi karibu wote wa wizara ya ardhi makao makuu sasa hivi wapo nje ya jengo kwa kuhofia moto haijajulikana kama jengo linaungua au la.......
....duuuuuh, masikini hati zetu za nyumba!!!! Zitakuwa salama kweli?????? WAFUATILIAJI EBU TUPENI USAHIHI WA HILI AU KINACHOENDELEA.
....duuuuuh, masikini hati zetu za nyumba!!!! Zitakuwa salama kweli?????? WAFUATILIAJI EBU TUPENI USAHIHI WA HILI AU KINACHOENDELEA.