The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 3,612
- 9,269
Nani anaweza kujibu swali hili kwa ufasaha..?
Hivi mnaukumbuka moto wa Peter Msigwa aliyekuwa anapata promo ya CCM huku wakijiapiza kuwa wanaenda kuiua CHADEMA kwa kuondoka kwake..?
Huyu Peter Msigwa aliyevurumka kutoka CHADEMA kama moto wa kifuu tukadhani sasa anakwenda kuiunguza CHADEMA yuko wapi aisee..?
Huyu sababu kubwa ya kumtoa CHADEMA alisema tatizo ni udikteta wa FREEMAN MBOWE...
Sasa umezuka mwingine tena. Ni moto wa mabua wa G55. Hawa wanasema, tatizo ni Tundu Lissu dikteta, hawasikilizi...
Hivi moto huu nao unadhani unakwenda kuzimikia wapi wandugu...?
Hizi pesa za aliyeinunua CHAUMA, akawapa hawa wachuuzi wa kisiasa na wahamiaji wagawane zina madhara kiasi gani kwa CHADEMA hata eti ife..?
Magufuli na mapesa yote ya serikali na majeshi yote alinyoosha mikono juu na kuishia kufa yeye. Hawa pimbi wataweza kuua mpango wa Mungu aliye hai kweli..?
Hawa visorokoto wa G55 huku nyuma yao tunajua yuko Freeman Aikael Mbowe chini ya bwana zao (fulani) wawili au watatu ndani ya CCM & serikali wezi wa fedha za umma na kuzitumia kufadhili ujambazi huu wa kisiasa dhidi ya uhai na utu wa watu wataweza..??
Eti shetani anaweza kupigana na Mungu aliye hai, au siyo...?
Bila shaka anaweza kujaribu kupigana, lakini kamwe hawezi kushinda...!!!
Hivi ni nani ataamua huu "ugomvi wa mgawo wa maslahi" ambao kwa vyovyote vile unakuja na tutaushuhudia live bila chenga ..?
Hakika, huu ugomvi kati ya CCM na hawa wakuja kugombea majimbo ya ubunge utakuwa ni patashika nguo kuchanika...!
Hivi mnaukumbuka moto wa Peter Msigwa aliyekuwa anapata promo ya CCM huku wakijiapiza kuwa wanaenda kuiua CHADEMA kwa kuondoka kwake..?
Huyu Peter Msigwa aliyevurumka kutoka CHADEMA kama moto wa kifuu tukadhani sasa anakwenda kuiunguza CHADEMA yuko wapi aisee..?
Huyu sababu kubwa ya kumtoa CHADEMA alisema tatizo ni udikteta wa FREEMAN MBOWE...
Sasa umezuka mwingine tena. Ni moto wa mabua wa G55. Hawa wanasema, tatizo ni Tundu Lissu dikteta, hawasikilizi...
Hivi moto huu nao unadhani unakwenda kuzimikia wapi wandugu...?
Hizi pesa za aliyeinunua CHAUMA, akawapa hawa wachuuzi wa kisiasa na wahamiaji wagawane zina madhara kiasi gani kwa CHADEMA hata eti ife..?
Magufuli na mapesa yote ya serikali na majeshi yote alinyoosha mikono juu na kuishia kufa yeye. Hawa pimbi wataweza kuua mpango wa Mungu aliye hai kweli..?
Hawa visorokoto wa G55 huku nyuma yao tunajua yuko Freeman Aikael Mbowe chini ya bwana zao (fulani) wawili au watatu ndani ya CCM & serikali wezi wa fedha za umma na kuzitumia kufadhili ujambazi huu wa kisiasa dhidi ya uhai na utu wa watu wataweza..??
Eti shetani anaweza kupigana na Mungu aliye hai, au siyo...?
Bila shaka anaweza kujaribu kupigana, lakini kamwe hawezi kushinda...!!!
Hivi ni nani ataamua huu "ugomvi wa mgawo wa maslahi" ambao kwa vyovyote vile unakuja na tutaushuhudia live bila chenga ..?
Hakika, huu ugomvi kati ya CCM na hawa wakuja kugombea majimbo ya ubunge utakuwa ni patashika nguo kuchanika...!