Tetesi: Moto unalipuka Dodoma, Mzee mpiga debe atolewe🤐

Kwanini waanzishe chama? Kwani CCM ni wamoja kiasi hicho?

Kuna wanaolalamika sasa kama wana CCM?

Nani anayenufaika na haya yanayoendelea?
Whatever the case wote tunajua Samia atachukua fomu 2025 na hakuna mwingine atakayepewa. Sasa Kama kina Polepole na Bashiru wanajua Hilo (Maana 2020 pia walizuia wengine kupewa fomu) why wasianzishe chama?

Kulalamika huku unajua kabisa fate Yako ni kujidanganya. At least watoke kama Lowassa waitikise CCM sio mnalialia huku mmeng'ang'ania huko ndani matokeo yake ndio kudhalilishwa kama Ile Jana.
 
Jamani jamani nimeinyaka nimeinyaka jamani Busara ni muhimu jamani humo ndani ya cc kimenukishwa na Mzee wa Msoga kama vile kanusa kama nabii akasema jamani jamani.

Ni hivi wenye nguvu ndani ya chama wanataka haki itendeke come juwa come rain wanataka kujua ni jambo gani Hayati JPM na Mzee Mkapa walifanya wakastahili kubezwa na kurushiwa vijembe after all good things they done for this nation?

Watu wameenda mbali na kubadilisha picha na sasa watu wanaangaliana red eyes kuwa hawa wazee kulikuwa na plot to assassinate plz do not quote me.

Mmmmmmmmmmmm ile kauli ya Mzee wa makatibu wema hawafi ndio imeamsha hisia Kali ndani ya chama na let pray some thing bad is near to come.

Tetesi zisizo Rasmi jamani narudia kama nabii wa Taifa nilioko nyuma ya computer...... Wanasema wanasema eti ....…........ Liwe ............ Meza ipinduliwe.........,......... Sio zam yao............... Why....................... Yaaniiiiiiiiiii hali tete..,........ Ndio maana kumbe aina fulan ya watu ........... Hawaguswi ....,...........🤐🤐🤐🪑🪑🪑😭😭😭 Jamani naomba ulinzi🤭
Ndoto ya mchana
 
Jamani jamani nimeinyaka nimeinyaka jamani Busara ni muhimu jamani humo ndani ya cc kimenukishwa na Mzee wa Msoga kama vile kanusa kama nabii akasema jamani jamani.

Ni hivi wenye nguvu ndani ya chama wanataka haki itendeke come juwa come rain wanataka kujua ni jambo gani Hayati JPM na Mzee Mkapa walifanya wakastahili kubezwa na kurushiwa vijembe after all good things they done for this nation?

Watu wameenda mbali na kubadilisha picha na sasa watu wanaangaliana red eyes kuwa hawa wazee kulikuwa na plot to assassinate plz do not quote me.

Mmmmmmmmmmmm ile kauli ya Mzee wa makatibu wema hawafi ndio imeamsha hisia Kali ndani ya chama na let pray some thing bad is near to come.

Tetesi zisizo Rasmi jamani narudia kama nabii wa Taifa nilioko nyuma ya computer...... Wanasema wanasema eti ....…........ Liwe ............ Meza ipinduliwe.........,......... Sio zam yao............... Why....................... Yaaniiiiiiiiiii hali tete..,........ Ndio maana kumbe aina fulan ya watu ........... Hawaguswi ....,...........🤐🤐🤐🪑🪑🪑😭😭😭 Jamani naomba ulinzi🤭
Jana Kikwete kawaambia muache Uchimvi na Uongo;
Hapajakucha mmeshasahau ujumbe,
Kweli Chama cha Mambuzi
 
Jamani jamani nimeinyaka nimeinyaka jamani Busara ni muhimu jamani humo ndani ya cc kimenukishwa na Mzee wa Msoga kama vile kanusa kama nabii akasema jamani jamani.

Ni hivi wenye nguvu ndani ya chama wanataka haki itendeke come juwa come rain wanataka kujua ni jambo gani Hayati JPM na Mzee Mkapa walifanya wakastahili kubezwa na kurushiwa vijembe after all good things they done for this nation?

Watu wameenda mbali na kubadilisha picha na sasa watu wanaangaliana red eyes kuwa hawa wazee kulikuwa na plot to assassinate plz do not quote me.

Mmmmmmmmmmmm ile kauli ya Mzee wa makatibu wema hawafi ndio imeamsha hisia Kali ndani ya chama na let pray some thing bad is near to come.

Tetesi zisizo Rasmi jamani narudia kama nabii wa Taifa nilioko nyuma ya computer...... Wanasema wanasema eti ....…........ Liwe ............ Meza ipinduliwe.........,......... Sio zam yao............... Why....................... Yaaniiiiiiiiiii hali tete..,........ Ndio maana kumbe aina fulan ya watu ........... Hawaguswi ....,...........🤐🤐🤐🪑🪑🪑😭😭😭 Jamani naomba ulinzi🤭
Rais Samia Suluhu anabusara za kutosha na ndio maana tuliona ametengua kauli ya yule mzee
 
Jana Kikwete kawaambia muache Uchimvi na Uongo;
Hapajakucha mmeshasahau ujumbe,
Kweli Chama cha Mambuzi
Hahahha watu wameshazoea kusema mambo waso na uhakika nayo lakini Kikwete alicho sisitiza ni kwamba 2025 hakuna mgombea mwingime zaidi ya Rais Samia Suluhu
 
Hahahha watu wameshazoea kusema mambo waso na uhakika nayo lakini Kikwete alicho sisitiza ni kwamba 2025 hakuna mgombea mwingime zaidi ya Rais Samia Suluhu
Imagine hao ndo wazee wa chama, alafu mtu aseme kuna democrasia ndani ya CCM mm nakataa.

Any way nimekumbuka tukiwa first year kuna recturer aliwai kusema tayar nishajua vijana wangu kazaa watakao faulu course yangu.

that means ni mwendo wa kupiga mstari tu wengine tukutane september.

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Let us be serious huo muda huwa haufiki! Tangu 1995 hadi leo ni ile hadithi ya fisi kuusubiri mkono wa mlevi kuwa utadondoka!
Kama wewe Ni wa kijani na unanyonya wananchi unajifariji mkuu. Sembuse ccm isianguke. Unaipata Roman, ottoman,empire zilikuwaje na mwishowe wake ulikuwaje
 
giphy.gif
Hapo imekosekana castle.lite
 
Exactly. Hawa wananogesha genge tu, anayeweza kutoa amri kwa vyombo vya dola ndio mwenye maamuzi ndani ya CCM.
Kama kweli Jiwe alipotezwa na kundi fulani ndani ya Chama chake mwenyewe kama wanavyotuaminisha, ilikuaje basi Hilo kundi likafanikiwa wakati hawakuwa na Amri kwa Vyombo vya Dola?
 
Back
Top Bottom