zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,036
- 28,682
Whatever the case wote tunajua Samia atachukua fomu 2025 na hakuna mwingine atakayepewa. Sasa Kama kina Polepole na Bashiru wanajua Hilo (Maana 2020 pia walizuia wengine kupewa fomu) why wasianzishe chama?Kwanini waanzishe chama? Kwani CCM ni wamoja kiasi hicho?
Kuna wanaolalamika sasa kama wana CCM?
Nani anayenufaika na haya yanayoendelea?
Kulalamika huku unajua kabisa fate Yako ni kujidanganya. At least watoke kama Lowassa waitikise CCM sio mnalialia huku mmeng'ang'ania huko ndani matokeo yake ndio kudhalilishwa kama Ile Jana.