Mtanzania haswa
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 663
- 99
wadau hapa ubungo mataa moto unawaka kwenye fremu za biashara na unasambaa kwa kasi.ukiwa unatokea mwenge ni upande wa kulia. nilikua kwenye foleni na magari muda si mrefu yatafungana
nimesikia kuwa kuna maduka yanaungua ubungo tupeane taarifa source clouds fm
Mkuu mbona muda huo unatuma hii ilikuwa Mbwiga ndio yuko hewani na sikusikia kitu kama hicho?nimesikia kuwa kuna maduka yanaungua ubungo tupeane taarifa source clouds fm