nami pia nilipita mida ya saa nne usiku na maduka kama saba hivi yalishaungua na moto ulikuwa ukiendelea kusambaa, hasara uenda ikiwa kubwa na vibaka walionekana kujipanga vizuri.
Nashangaa mfumo wa habari wa hapa kwetu, sijaona kama kuna gazeti lemetoa hizo habari lakini ni tukio la kusikitisha na kuonyesha tulivyokalia kaa la moto