Moto Mabanga: The billionaire who 'fixed' Zitto Kabwe

Moto Mabanga: The billionaire who 'fixed' Zitto Kabwe

adnan-khashoggi-2008-cannes-film-festival-indiana-jones-and-the-kingdom-of-the-crystal-skull-premiere-arrivals-0l8wBq.jpg


Bilionea adnan Khashoggi.

huyo mwingine tapeli tu anayecheza karata zake vizuri.
 
Nina shauku ya kumuona huyu jamaa aitwaye Moto Mabanga,nimesikia jina lake kitambo sana,inasemekana ni tapeli mmoja wahaya ameliza matajori wengi sana Marekani.Kinachonisumbua sana ni inakuwaje anapiga watu mikwara mpaka waandishi wa habari hawawezi mpiga picha hii,na inakuwa hivyo,sasa hicho ndo kimenipa shauku ya kumfahamu huyu jamaa zaidi,kwanini hataki kupigwa picha?
 
Kijana wenu zitto mambo yanazidi kumharibikia, anaingia vyoo vya kike tu
 
Sitaki kuamini kuna mtu mwenye attire ya hivi halafu hakuna picha yake.Kaenda mahakamani na kahojiwa kweli picha hazipo au ni uvivu wa muandishi??Anyway the guy fixes stuff and as it looks am pretty sure zitto is already FIXED!
 
Kama kuna mtu anao ule waraka ambao Zitto alimwanika huyu jamaa atuleteee lakini jamaa inaonekana anajua kucheza karata zake. Cha ajabu kwa nini zitto hakutokea wala hakujibu hizi tuhuma mpaka hukumu ikatolewa ya upande mmoja?



Source: The billionaire who
Sitaki kuamini kuna mtu mwenye attire ya hivi halafu hakuna picha yake.Kaenda mahakamani na kahojiwa kweli picha hazipo au ni uvivu wa muandishi??Anyway the guy fixes stuff and as it looks am pretty sure zitto is already FIXED!
 
Sitaki kuamini kuna mtu mwenye attire ya hivi halafu hakuna picha yake.Kaenda mahakamani na kahojiwa kweli picha hazipo au ni uvivu wa muandishi??Anyway the guy fixes stuff and as it looks am pretty sure zitto is already FIXED!

Aliingia anga za watu.. Ndio kashapotezwa hizo..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom