CRITICAL MIND
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 416
- 387
Mleta mada
maswali yako ni mazuri lakini you are asking at the WRONG platform
wewe unadhani kuwa humu ndani kuna GREAT THINKERS wa kukujibu?
inshort ukiona kimya hakuna mwenye majibu na watu wanaona raha kujadili nani kapata watu wengi kwenye mkutano wa kisiasa....hiyo ndio mentality ya jukwaaa la siasa
sasa kama kweli lete maswali yako yote kuhusu huyu jamaa mimi nitakupa majibu yote....including hizo picha zake ambazo mnaambiwa eti hazipo.
maswali yako ni mazuri lakini you are asking at the WRONG platform
wewe unadhani kuwa humu ndani kuna GREAT THINKERS wa kukujibu?
inshort ukiona kimya hakuna mwenye majibu na watu wanaona raha kujadili nani kapata watu wengi kwenye mkutano wa kisiasa....hiyo ndio mentality ya jukwaaa la siasa
sasa kama kweli lete maswali yako yote kuhusu huyu jamaa mimi nitakupa majibu yote....including hizo picha zake ambazo mnaambiwa eti hazipo.