Moto Mabanga: The billionaire who 'fixed' Zitto Kabwe

Moto Mabanga: The billionaire who 'fixed' Zitto Kabwe

Mleta mada

maswali yako ni mazuri lakini you are asking at the WRONG platform

wewe unadhani kuwa humu ndani kuna GREAT THINKERS wa kukujibu?

inshort ukiona kimya hakuna mwenye majibu na watu wanaona raha kujadili nani kapata watu wengi kwenye mkutano wa kisiasa....hiyo ndio mentality ya jukwaaa la siasa

sasa kama kweli lete maswali yako yote kuhusu huyu jamaa mimi nitakupa majibu yote....including hizo picha zake ambazo mnaambiwa eti hazipo.

0225.jpg
 
Ina maana Matiku ana mfix Kabwe sasa?

Critical mind kaja hapa akadai kuwa atatoa info pamoja na picha za huyu kiboko ya Zitto lakini kwa masharti kuwa lazima kwanza hiyo article iliyoandikwa na Zitto iwekwe humu ndani ya JF

sasa we are stuck between a rock and hard place....

sisi tunataka info

mwenye info hataki kutoa mpaka barua iliyompeleka Zitto mahakamani ianikwe

sasa what should we do?

JF imekuwa kama kisu butu na hii ndio forum iliyotuletea DEEP GREEN, MEREMETA, TWIN TOWERS, RICHMOND etc
 
jamani nisaidieni kutafsiri hichi kikristo naona kinaleta .problem
 
Battle for TZ gas deal goes to court

In Summary

  • Tanzanian businessman who lives in South Africa asks the High Court to declare that the firm cheated him into surrendering his 15 per cent interest
  • Moto Mabanga claims Ophir Energy forced him to sell his stake because he is a black African

Dar es Salaam. A former business partner at Ophir Energy, a leading oil and gas exploration company, has sued the firm for allegedly locking him out of lucrative deals fraudulently.

Tanzanian businessman Moto Mabanga, who lives in South Africa, has asked the High Court to declare that the company cheated him into surrendering his 15 percent interest in three gas blocks located in Mtwara at a throw away price. He has also sued the company’s subsidiary, Ophir Services, and British Gas Tanzania--which has joint business interests in the Mtwara oil fields.

In a case filed on Monday at the commercial division of the High Court, the businessman claims that the $7.5 million offer that the London-based companies paid him to acquire his shares was made in bad faith and was aimed at underpaying him.

Mr Mabanga claims the company approached him on March 5, 2010, seeking to buy his interest of five percent in each of the three blocks.

The businessman claims he initially declined the offer but Ophir, through CEO Alan Stein, exerted undue pressure on him and he finally caved in and sold the shares at a low price. The Ophir Energy and Ophir Services agent reportedly gave Mr Mabanga less than 48 hours to make up his mind. He argues that the offer to buy his interest was made in bad faith, the intention being to underpay him.

Ophir is the biggest oil and gas explorer in the East Africa region. The Tanzanian fields that the firm discovered with its partner BG Group are estimated to hold 15 trillion cubic feet of provable natural gas.

In November last year, Ophir Energy PLC sold part of a giant natural gas discovery off the coast of Tanzania to Singapore’s state-owned Pavilion Energy for $1.3 billion, the UK-based Ophir said on Thursday.

Pavilion, which is owned by the Singapore state investment fund Temasek, consequently got a 20 per cent share of Ophir’s licences in Blocks 1, 3 and 4, located in waters off the coast of Tanzania. The deal depends on the Tanzanian government’s approval.

Mr Mabanga has accused the two companies of unilaterally drafting a deed of termination to pay him $7.5 million for his interests in the three blocks. “This amount is far less than the actual value of the plaintiff’s interests in the blocks,” he claims.

According to the businessman, the termination was designed to deny him his rightful future earnings, benefits and profits.

Defamation claims

The businessman is also accusing the companies of using Kigoma North MP Zitto Kabwe to defame him by spreading tales that he engages in high level corruption. Last year, the Kisutu Resident Magistrate’s Court ordered Mr Kabwe to pay Mr Mabanga Sh3 million for spreading lies against him.

Mr Kabwe is on record saying that the businessman was a Congolese fixer who bribed local officials to get gas exploration licences for Ophir Energy. He also posted information on his blog to the effect that Mr Mabanga was involved in bribery deals in the lucrative gas sector in Tanzania, currently valued at $430 billion. Mr Mabanga had asked for $5 million (Sh8 billion) in costs and damages he allegedly suffered after the online publication but the court turned him down because he failed to prove how he had suffered. Mr Mabanga says he is a Tanzanian born in Serengeti district, Mara region.

In the present suit, Mr Mabanga says that the silence of Ophir and other defendants following Mr Kabwe’s defamatory statement, which touched on their three blocks in Mtwara, was a sign that they backed the allegations. “This implies they are in agreement with Zitto Kabwe’s defamatory allegations,” he adds
source CITIZEN YA LEO..
 
Moto Mbanga!

Nimevutiwa na historia ya jamaa huyu. kama kweli ni "poti" itakuwa poa akitueleza pia kwa kiasi gani ameshirki katika biashara ( sijasema haramu) ya pembe za Ndovu!

kwamba ukiwa na kikwazo chochote katika deal ya kibiashara ndani ya nchi yoyote afrika hauna haja ya kuumiza kichwa isipokuwa mtafute Mabanga! huyu anacheza kama Pele. Deal la Vodacom DRC kongo linakwenda mrama anatafutwa kusaidia na kisha kuongoza kikao cha upatanishi Paris Ufaransa! Chezea poti wewe.

Namfananisha Mabanga na Tukio la mtu mmoja lililotokea kenya katikati ya mwaka jana likuhusisha Raia wa Nigeria aliyekuwa akijitambulisha kama Chinedu.

Chinedu aliyefukuzwa kenya kwa tuhuma za kufanya biashara ya dawa za kulevya, alisababisha sakasaka pale ndege iliyombeba yeye pamoja na maofisa kadhaa wa serikali ya kenya ilipozuiliwa kurejea kenya kutoka Nigeria wakitakiwa kumrejesha Chjinedu kwa kile maofisa wa Nigeria waliochosema kuwa serikali ya Kenya imefanya makosa kumrejesha Nigeria, Chinedu

Tata Mabanga, kwa kuwa wewe ni Poti hebu fanya mikakati kwani wewe hakuna usichoweza kufanya hapa afrika kwa kuwasaidia wakina Bhoke, Chacha, mwita na N'k kupata hisa katika migodi ya dhahabu na ikiwezekana mwondoe prof. Muhongo ili nafasi hiyo ichukuliwe na mtu mwingine kwani huyo mura ameshindwa kazi.
 
Laana imezidi kumuandama kijana wetu,
Ukiiona haraka haraka utadhani hawa jamaa wameandika stori kwelikweli. Kumbe ndo na wao waliponea kutoka kwa bilionea huyo. Hii si stori ni PR na kumsafisha Mabanga ambaye Mhariri Mtendaji wa The Citizen, (yule wa mapanki) kwa vile ni Mkurya anadai na Mabanga naye ni Mkurya. Yeba!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom