Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,434
- 59,294
Hilo ndio tatizo
Huwa wanafuatilia jambo wakati wa tukio au uchaguzi tu
Vichwa sijui vimejaa maji
Hilo ndio tatizo
HahahahKwa mbaaali Nimeona picha ya kijani nikajua ni lile jengo la pale Lumumba linaungua dah!
Nilitaka niagize mbili tatu....hapa
Muite Aziz Kinana
PICHANI:-Baadhi ya wafanyabiashara wakishika kichwa kwa masikitiko na wengine wakiokoa baadhi ya bidhaa ili zisiweze kuharibika kabisa katika moto uliotokea leo kwenye moja ya jengo kariakooHujuma
Maduka 500 sio mchezo kaka ni hujuma zimeanzaPICHANI:-Baadhi ya wafanyabiashara wakishika kichwa kwa masikitiko na wengine wakiokoa baadhi ya bidhaa ili zisiweze kuharibika kabisa katika moto uliotokea leo kwenye moja ya jengo kariakoo
View attachment 2769171
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu wangu pole sana! Lilikuwa maeneo hayohayo ya ajali? Umefanikiwa kuokoa chochote? Ilikuwaje?Inasikitisha sana na mimi duka langu la kuuza movi lime ungua
Wewe si ndio ulikua unafurahia,au,nimekunukuu vibayaMaduka 500 sio mchezo kaka ni hujuma zimeanza
Umafia, ubabe na ujasusi wa biashara za Kariakoo | Page 2 Umafia, ubabe na ujasusi wa biashara za KariakooBoth... Hujuma na Mchongo...
Naye ni mmoja wa wahangaWewe si ndio ulikua unafurahia,au,nimekunukuu vibaya
Kaka nimefurahi sababu ntalipwa na bima yangu mimi ni mmoja ya watu niliyopoteza duka langu kwa moto piaWewe si ndio ulikua unafurahia,au,nimekunukuu vibaya
Jamaa inaonekana kaguswaPICHANI:-Baadhi ya wafanyabiashara wakishika kichwa kwa masikitiko na wengine wakiokoa baadhi ya bidhaa ili zisiweze kuharibika kabisa katika moto uliotokea leo kwenye moja ya jengo kariakoo
View attachment 2769171
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani zilishapimwa chuma chakavu.Hivi zile fire hydrant zilizo fukuliwa na zingine kuonekana zikiwa zimesahaulika miaka iliishia wapi?
Enzi za Magu?
View attachment 2769299Jamaa inaonekana kaguswa
Ova
Siwezi kubisha kwa hiliNadhani zilishapimwa chuma chakavu.