Most expensive schools in Tanzania

Most expensive schools in Tanzania

Kina mo dewji na kina manj ndo wamesoma hyo IST,...sasa angalia vichwa vyao,..hiv ushawai msikia dewj au manji wakiongea kuhusu ulimwengu wa biashara,ndo utajua hawa jamaa ni ma genius hata kama walirith mali,ku run bi empires kama zile inabid uwe genius asee,hawa jamaa wanaongeaga point had unajiuliza,hawa jamaa hii elim wametoa wap
 
Most of these schools are situated in Dar and Arusha. What is the implication on these two regions? ISM have a campus in Arusha.
Implication ya hiyo kitu ni kuwa hata walioendelea wanajua kuwa hizo regions ndo zenye watu wenye dough na sana sana Arusha.. Dough ipo kwa wengi japo life iko juu na ni tourist regions kuna attractions kibao na weather pia ni nzuri
 
Why should he research? You have the finding! Just tell us the min and max cost for ISAMILO and we will know where to rank it.
Mkuu unanikumbusha mbali sana mambo flan ya research. Unasubmit title kwa mfano halafu unaulizwa findings. Sasa unajifanya huzijui ili study iwe significant. Anauliza wenzako wanatoa findings zote halafu ynaulizwa ss wewe unaenda tafuta nini na majibu yapo hahahaaaa
 
Most of these schools are situated in Dar and Arusha. What is the implication on these two regions? ISM have a campus in Arusha.
ARUSHA ni International City
Ngoja nizioridheshe..
1. Braeburn Internation School
2. Internation School of Moshi
3. St Constantine Internation School
4. Kennedy House (Usa River)
5. Denca International School( Manyire Arusha)



Nyingine ambazo zipo mbioni kuwa International Schools
1. Jaffery Academy
2. Arusha Meru
 
So, which is the most expensive? Maana naona zote unaanza kwa "is the most expensive"
Soma kwa makini utajua ni nini... Usikariri tu kuwa "most" ni superative adj!!! Mbona maelezo yanajitosheleza..... Kuna shule ni most expensive kiwilaya pia kuna shule ni most expnsv kimkoa pia kuna shule ni exnsv ktfa
 
Back
Top Bottom