JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 6,838
- 14,221
Muda si mrefu, majasusi, wa, MOSSAD, wamefanya assassination kwenye viunga vya Lebanon, maeneo ya Hezbollah, wamemuua kiongozi, mkubwa wa, Hamas, sasa, ni Vita kila eneo, militarily, na covert operations, ubaya, wake, Hamas, na, wanaomuunga mkono, watalipa kisasi popote yalipo maslahi, ya Israel duniani.
Kazi, ya, intelijensia ndio hiyo, unakuwa, na, mkono mrefu, wakati army wanapigana kwa bunduki kwa kuona na, wewe unakwenda, "behind enemy lines"
Vita ndio kwanza imeanza.
Sio TISS wetu,tunaonyanganya mademu baa, kila siku, wanagombana na daladala, na mbwembwe za kuwasha vingora.
Kazi, ya, intelijensia ndio hiyo, unakuwa, na, mkono mrefu, wakati army wanapigana kwa bunduki kwa kuona na, wewe unakwenda, "behind enemy lines"
Vita ndio kwanza imeanza.
Sio TISS wetu,tunaonyanganya mademu baa, kila siku, wanagombana na daladala, na mbwembwe za kuwasha vingora.