habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,739
Kwwni sherehe hazijaanza mpaka SAA hizi?
Hivi mkabila namba 1 nchini ni nani ? Sio huyo unayemtetea ??mr gentleman usimuusishe mhe rais na ukabila wako!
Naona geti la kusini huku Askari wanachapa watu huku
Tbc ujinga tu ...Itv walisema watarusha..
Ila tbc1 hawawezi acha kurusha..
Mmelipwa?Tumepanga foleni hapa ushirika, hatujui tunaingia saa ngapi uwanjani.