Ingekua amri yangu ingenyesha ya mawe kabisaa kila mtu akimbie,hakuna sababu ya kufanya sherehe wakati wafanyakazi wanalia njaa na ugumu wa maishaMvua hii sasa na hali ilivo mbaya sherehe itakuwaje sijui
Yaani hawa TUCTA ni bure kabisaaaMada kuu! Uchumi wa viwanda usikandamize haki na maslai ya wafanyakazi
Na hapa Ni lazimaaàIngekua amri yangu ingenyesha ya mawe kabisaa kila mtu akimbie,hakuna sababu ya kufanya sherehe wakati wafanyakazi wanalia njaa na ugumu wa maisha
Wameamua kufanyia chuo kikuu cha ushirika ambacho inasemekana Daud Bashite ali disco hapo sio ?Maandamano yanakaribia kuanza sasa....
Watumishi na wakazi wengine wa mkoa wa Kilimanjaro wamekusanyika eneo la idara ya maji kwa ajili ya maandamano yakuelekea viwanja vya Chuo kikuu cha Ushirika