heavyload
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 900
- 497
Hakuna uovu uliwahi kudumu milele, iko siku mtu huyu na yeye ataisoma
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
.Mhhh.Hiv walipata kweli
PALE ZEE LA VI-WONDER LILIPOPELEKA SERIKALI NZIMA KUWAPIGA FIX WATUMISHI WA UMMAHili la Waziri Mkuu, kuwa watumishi wasihamishwe bila kulipwa stahiki liko kama hakijatekelezwa. Jana niliona Mwl.mmoja akilalama sana,kahamishwa seco kwwenda msingi na hajalipwa. Duu bado kazi ipo.
Mhhh, mkuu punguza maneno makali. Mpeni muda wa kutosha naamini mtapata haki zenuPALE ZEE LA VI-WONDER LILIPOPELEKA SERIKALI NZIMA KUWAPIGA FIX WATUMISHI WA UMMA
Hilo koti utadhani dekio
Chuma kimekaza mwanzo mwisho. Wapiga dili, wauza unga, mafisadi wa chadema na wakaskazini hawana hamu na hiki kichwa. Wote kwa pamoja wanaisoma namba.
Baada ya mwaka jana kuajiri 52,000 mwaka huu tunaajiri tena 52,000 CCM OyeeeeAjira 52,000 !!!
Ni kweli tuendelee kulisubiria mpaua siku likiwa likiongozi la malaikaMhhh, mkuu punguza maneno makali. Mpeni muda wa kutosha naamini mtapata haki zenu
Umeonaeee.Ni kweli tuendelee kulisubiria mpaua siku likiwa likiongozi la malaika
Ajira gani hizo?Ajira nje nje, waliopitiwa na panga vyeti feki kulipwa mafao,kununua hisa ya makampuni,Tanzania ya viwanda,tufanyeni kazi-hakuna mission town