Moshi wa bangi ukeni

Moshi wa bangi ukeni

daah..! bora siri ziendelee kuvuja now tujifunze vingi sasa na sisi..
 
Mnalewesha tu Maku zenu mwisho zitakua chronic zitahitaji mchanganyiko wa bange mirungi plus cocaine, Afadhali maku za kimasai wale wapo org sana
 
HAPANA ASEE HATA SHETANI HILI ATAPINGA HAKUHUSIKA KABISA TZ YA VIWANGA KWELI TUTAFIKA ? K inakula shabu ?
 
Kwa njia hiyo wataacha kuzaa vichaa kweli? Kama kipochi manyoya kinafukizwa bangi tutegemee nini?
 
Tatizo ni uelewa tu.

Bangi nnaitumia sana kuichanganya na al-oud kupata scent ya kipekee.

Zaidi ya miaka 38 sasa nafanya hivyo.

Mbona manukato mengi sana harufu (extract) ya bangi ni ingredient muhimu sana.
 
Tatizo ni uelewa tu.

Bangi nnaitumia sana kuichanganya na al-oud kupata scent ya kipekee.

Zaidi ya miaka 38 sasa nafanya hivyo.

Mbona manukato mengi sana harufu (extract) ya bangi ni ingredient muhimu sana.

Okay, basi watu waombe ujuzi kutoka kwako, ninaamini utawasaidia.

Na vipi haina madhara kwa mtumiaji hasa akiamua kwenda chumvini?
 
Nimeshangazwa sana na baadhi ya akina mama kumjia juu Dkt. Mwaka eti alikuwa anawapotosha kuhusu kuweka vitu mbalimbali ukeni ili wawe watamu, vitu kama sukari asali mchaichai n.k.

Imefika mahali wanawake tuache unafiki maana wenyewe ndo wakuu wa kudanganyana.

Makichen party kibao hapa mjini kwanza utakuta mashoga kibao yamealikwa halafu mafunzo yenyewe upuuzi mtupu, kuna huyu mama MC maarufu, hata kwenye ma TV yupo, siku hiyo anafundisha jinsi ya kuweka moshi wa bangi ukeni, huo ndo mambo yote eti halafu mkishindwa kuzaa mnamponda Dkt. Mwaka.

Simpendi Mwaka lakini mwacheni, mbaya wenu ni anaewauzia mibangi ya kuweka humo.

Wanaume msione wadada wazuri hivi wanavuta bangi huko chini vibaya.
Hii kwangu ni news!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom