Moshi wa bangi ukeni

Moshi wa bangi ukeni

Duh... wanapoelekea wenzetu kubaya... wanaweza weka mpaka tumbaku.. maana
 
Nimeshangazwa sana na baadhi ya akina mama kumjia juu Dkt. Mwaka eti alikuwa anawapotosha kuhusu kuweka vitu mbalimbali ukeni ili wawe watamu, vitu kama sukari asali mchaichai n.k.

Imefika mahali wanawake tuache unafiki maana wenyewe ndo wakuu wa kudanganyana.

Makichen party kibao hapa mjini kwanza utakuta mashoga kibao yamealikwa halafu mafunzo yenyewe upuuzi mtupu, kuna huyu mama MC maarufu, hata kwenye ma TV yupo, siku hiyo anafundisha jinsi ya kuweka moshi wa bangi ukeni, huo ndo mambo yote eti halafu mkishindwa kuzaa mnamponda Dkt. Mwaka.

Simpendi Mwaka lakini mwacheni, mbaya wenu ni anaewauzia mibangi ya kuweka humo.

Wanaume msione wadada wazuri hivi wanavuta bangi huko chini vibaya.
Ulijuaje haya yote,kama na wewe mwenyewe so mhusika na hayo?
 
Nimeshangazwa sana na baadhi ya akina mama kumjia juu Dkt. Mwaka eti alikuwa anawapotosha kuhusu kuweka vitu mbalimbali ukeni ili wawe watamu, vitu kama sukari asali mchaichai n.k.

Imefika mahali wanawake tuache unafiki maana wenyewe ndo wakuu wa kudanganyana.

Makichen party kibao hapa mjini kwanza utakuta mashoga kibao yamealikwa halafu mafunzo yenyewe upuuzi mtupu, kuna huyu mama MC maarufu, hata kwenye ma TV yupo, siku hiyo anafundisha jinsi ya kuweka moshi wa bangi ukeni, huo ndo mambo yote eti halafu mkishindwa kuzaa mnamponda Dkt. Mwaka.

Simpendi Mwaka lakini mwacheni, mbaya wenu ni anaewauzia mibangi ya kuweka humo.

Wanaume msione wadada wazuri hivi wanavuta bangi huko chini vibaya.
Miss Natafuta hajakosea kutokana na kustaajabishwa siku nyingi kuwa, kuna kinamama wengine huvuta ugoro kupitia ukeni, kumbe hata bangi!
Ugoro si kwa ajili ya utamu wa kumridhisha mwanaume bali ni nishai aipatayo kwa ajili ya burudani yake hadi anakuwa teja. Bila ya kuweka hajisikii.
Sambamba na hayo mibangi, siyo kwa ajili ya utamu wa kumridhisha mwanaume, bali ikiingia kwenye damu, humzibua mtumiaji mwenyewe.
 
Nimeshangazwa sana na baadhi ya akina mama kumjia juu Dkt. Mwaka eti alikuwa anawapotosha kuhusu kuweka vitu mbalimbali ukeni ili wawe watamu, vitu kama sukari asali mchaichai n.k.

Imefika mahali wanawake tuache unafiki maana wenyewe ndo wakuu wa kudanganyana.

Makichen party kibao hapa mjini kwanza utakuta mashoga kibao yamealikwa halafu mafunzo yenyewe upuuzi mtupu, kuna huyu mama MC maarufu, hata kwenye ma TV yupo, siku hiyo anafundisha jinsi ya kuweka moshi wa bangi ukeni, huo ndo mambo yote eti halafu mkishindwa kuzaa mnamponda Dkt. Mwaka.

Simpendi Mwaka lakini mwacheni, mbaya wenu ni anaewauzia mibangi ya kuweka humo.

Wanaume msione wadada wazuri hivi wanavuta bangi huko chini vibaya.
Nahitaji kufunga na kuomba kwa ajili ya Taifa hili....kama ndo tulipofikia hapa!
 
...huko mmeenda mbali...ukweli ni kwamba hakuna raha kama kumkaza demu wote mkiwa mmevuta bangi... Yani ukitaka demu asikusahau...vuta bangi alafu mkaze... na ikiwezekana nae awe amevuta....loooh...its amazingly nice...wala haijalishi hata kama hamjanywa pombe....sasa demu akiweka bangi kwenye k basi haitaji kuvuta..ila mwanaume ni poa kuvuta du...utapiga bao kiyama...Angalizo: kuvuta bangi ni kosa na hairuhusiwi...hapa bangi imezungumziwa kama experience yenye kuchagiza ngono tu...kwa anaetaka ku jaribu...
 
Nimeshangazwa sana na baadhi ya akina mama kumjia juu Dkt. Mwaka eti alikuwa anawapotosha kuhusu kuweka vitu mbalimbali ukeni ili wawe watamu, vitu kama sukari asali mchaichai n.k.

Imefika mahali wanawake tuache unafiki maana wenyewe ndo wakuu wa kudanganyana.

Makichen party kibao hapa mjini kwanza utakuta mashoga kibao yamealikwa halafu mafunzo yenyewe upuuzi mtupu, kuna huyu mama MC maarufu, hata kwenye ma TV yupo, siku hiyo anafundisha jinsi ya kuweka moshi wa bangi ukeni, huo ndo mambo yote eti halafu mkishindwa kuzaa mnamponda Dkt. Mwaka.

Simpendi Mwaka lakini mwacheni, mbaya wenu ni anaewauzia mibangi ya kuweka humo.

Wanaume msione wadada wazuri hivi wanavuta bangi huko chini vibaya.
Kwa hiyo watoto wanaanza kuvuta bang wakiwa bado in "form of sperms" yaani kabla hata sperms hazijaungana na kuwa mimba tayar mshaanza kuzivutisha bangi. Mtoto anazaliwa na apetite ya kuvuta bangi.
Unashangaa anafika darasa la kwanza anaanza kubaka mbwa kama kule Arusha. Utashangaa mtoto ana nn kumbe ww ndo umemharibu mtoto.

Balaa hilo.
 
Duuuuuh.
Wanadamu wana mahangaiko mengi sana chini ya jua.
Tatizo katika mahangaiko yote haya hawamshirikishi Mungu wao kwenye mambo nyeti yawasumbuayo
 
wanaume MNA raha sana hayo yote ni kuwafurahisha????

utamu Wa mwanamke ni
- utundu kiasi kitandani
-usafi
-heshima
-mapishi
-upendo

hizo bangi ukeni ni uchawi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom