Moshi wa bangi ukeni

Moshi wa bangi ukeni

nimeshangazwa sana na baadhi ya akina mama kumjia juu dkt. Mwaka eti alikuwa anawapotosha kuhusu kuweka vitu mbalimbali ukeni ili wawe watamu
vitu kama sukari asali mchaichai nk.


imefika mahali wanawake tuache unafiki maana wenyewe ndo wakuu wa kudanganyana.

Makichen party kibao hapa mjini kwanza utakuta mashoga kibao yamealikwa halafu mafunzo yenyewe upuuzi mtupu, kuna huyu mama mc maarufu hata kwenye matv yupo siku hiyo anafundisha jinsi ya kuweka moshi wa bangi ukeni huo ndo mambo yote eti halafu mkishindwa kuzaa mnamponda dkt. Mwaka.

Simpendi mwaka lakini mwacheni, mbaya wenu ni anaewauzia mibangi ya kuweka humo.

Wanaume msione wadada wazuri hivi wanavuta bangi huko chini vibaya.
kumbe !!!! Dushe lina test buds kama za ulimi za kuhisi sukari, asali nk?
 
Nimeshangazwa sana na baadhi ya akina mama kumjia juu Dkt. Mwaka eti alikuwa anawapotosha kuhusu kuweka vitu mbalimbali ukeni ili wawe watamu
vitu kama sukari asali mchaichai nk.

Imefika mahali wanawake tuache unafiki maana wenyewe ndo wakuu wa kudanganyana.

Makichen party kibao hapa mjini kwanza utakuta mashoga kibao yamealikwa halafu mafunzo yenyewe upuuzi mtupu, kuna huyu mama mc maarufu hata kwenye matv yupo siku hiyo anafundisha jinsi ya kuweka moshi wa bangi ukeni huo ndo mambo yote eti halafu mkishindwa kuzaa mnamponda Dkt. Mwaka.

Simpendi Mwaka lakini mwacheni, mbaya wenu ni anaewauzia mibangi ya kuweka humo.

Wanaume msione wadada wazuri hivi wanavuta bangi huko chini vibaya.

Siwatmb tena
 
Watu wana hasira na Mimi utadhani ndo nimekula mbo.oo zao nikaacha vipisi
Mniwache nilale!
Mtajibeba
Ndo maana mnapumuliana wenyewe
 
Mwaka haelewi na watumiaji hawaelewi, miaka takriban mitano nyuma nilielezea namna nitumiavyo bangi kwa manukato. Hususan katika kuichanganya na oud na kujifukiza.
 
Mwaka haelewi na watumiaji hawaelewi, miaka takriban mitano nyuma nilielezea namna nitumiavyo bangi kwa manukato. Hususan katika kuichanganya na oud na kujifukiza.
Wewe ulikua wa maggot kwahiyo bange na wewe ni ndugu..m

Btw hata maajuza bado wanafukiza hata baada yya menopause???😀😀
 
Ndomanaaa juzi kati hapa niko mchezoni nikasikia kaharufu harufu ya bangi nikajipa moyo itakuwa kafukiza udi manina

Nimegundua kitu hapa toto la brother ana 6 week ila 24 hrs anacheka tuu hata km yuko peke yake kumbe alishavutishwa bangi tumboni.

Jaman dada zetu mnakoelekea siko maana mwisho mtaeka mpaka madawa ya kulevya huko chini Itabidi tuanzishe soba za *****
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom