comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 6,457
- 11,520
Kiko unakijua???Wewe nifundishe jinsi ya kufanya. Mtu wa kuniwekea yupo huko. Huko pm unaniwekeaje? Kuna bomba la kupitisha Moshi?
Kiko unakijua???Wewe nifundishe jinsi ya kufanya. Mtu wa kuniwekea yupo huko. Huko pm unaniwekeaje? Kuna bomba la kupitisha Moshi?
😂😂😂😂Dokta mwaka aje na dawa ya kuwasaidia wanaume wa siku hizi.
Vidushe vinukta alafu wanalalamika mabwawa.
Kiufupi unapenda mashine za heavy duty?Hahahahaaaaa! Umeona mbali mama maana wameona vidushe vinazidi kusinyaa wanasingizia bangi,kesho watakuja na jipya, khaaah! Inabidi mwaka ahamie upande wa pili maana ni shughuli!
Mmmh!!Nitawaeleza jinsi ya kuweka huo moshi huko
Na jinsi ya kukata ndizi mbivu kwa k
Eti k itafune ndzi hadi imalize
Nimeshangazwa sana na baadhi ya akina mama kumjia juu Dkt. Mwaka eti alikuwa anawapotosha kuhusu kuweka vitu mbalimbali ukeni ili wawe watamu, vitu kama sukari asali mchaichai n.k.
Imefika mahali wanawake tuache unafiki maana wenyewe ndo wakuu wa kudanganyana.
Makichen party kibao hapa mjini kwanza utakuta mashoga kibao yamealikwa halafu mafunzo yenyewe upuuzi mtupu, kuna huyu mama MC maarufu, hata kwenye ma TV yupo, siku hiyo anafundisha jinsi ya kuweka moshi wa bangi ukeni, huo ndo mambo yote eti halafu mkishindwa kuzaa mnamponda Dkt. Mwaka.
Simpendi Mwaka lakini mwacheni, mbaya wenu ni anaewauzia mibangi ya kuweka humo.
Wanaume msione wadada wazuri hivi wanavuta bangi huko chini vibaya.