Moshi Technical School thread

Moshi Technical School thread

Daah! Long time sana wadau! mimi nimemaliza pale 2007 O-Level! nilikuwa nakaa AZIMIO DORM 5, nikaja nikahamia 4, Haikutosha nikahamia dorm 9! mishe hazikumalizikia pale mwisho wa siku nikahamia MKWAWA DORM 24 coz AZIMIO ilikuwa mbali sana na DH!!

Namkumbuka sana MPANDE, ila alikuwa ananiboa sana kwa upande wa mchaka mchaka!

Namkumbuka sana Mwl. KOBA (Mhina) alikuwa na matango balaa!!

Nikihamia upande wa jikoni sitafanya vizuri kama sitamtaja Mzee UGEGEDE!!!!! Hahahahahahahaaa!!!

NITAMALIZIA NA KIBAO HIKI KAMA MWAKIKUMBUKA

Shule yetu ufundi Mungu ibariki,
bariki wanafunzi nao walimu,
(tupate amani, upendo umoja,
ushirikiano na udumu) X2

...........................................
AHSANTENI SANA WADAU....:A S 103::A S 103::A S 103::A S 103::A S 103::A S 103::A S 103:
Mkwawa Dorm 25..... wacha kabisa!! Tunawahi magazeti kwa Ugegede pale au kama vipi kuiba nyuka!!
 
hii shule kwa sasa ni chaka la vilaza sijawahi kuiona hata kwenye nafasi 20 kitaifa, shule imelala,wanafunzi wamelala

we ndo umelala tena kilaza mwenyewe..njoo uione technical mpya katika kutoa watu wenye uwezo ktk nyanja mbalimbali bila ubabaishaji wowote, jipange!

mkuu shule ipo frsh sana japo toka ameingia head mmoja from bwilu boys aliiharib sana kwa kupenda pesa kwan alileta wanafunz weng kutoka shule za kati
 
Ndo hiyo hiyo 'old moshi high school' au n tofauti kwa wanaojua nielewesheni.
 
Moshi tech (mkwawa)
 

Attachments

  • 1425929313591.jpg
    1425929313591.jpg
    133.1 KB · Views: 199
mods jf wamelala zinaanzisha uzi mpya za moshi tech haziunganishwi humu


cc Invisible amka
 
Mkwawa Dorm 25..... wacha kabisa!! Tunawahi magazeti kwa Ugegede pale au kama vipi kuiba nyuka!!
mkuu kumbe nawe ni Tech boy? mzee ugegede alikuwepo by the time namaliza pale, nilikuwa Mkwawa form 1 and 2 then nikaenda kuwa house Captain Lumumba... nilikuwa MTS miaka ya 90's kati to mwishoni...Mpande naskia amestaafu...enzi zile ukitwa TYL utaisoma number...Mambo ya kuzamia Zenji nayakumbuka kichizi...
 
mkuu kumbe nawe ni Tech boy? mzee ugegede alikuwepo by the time namaliza pale, nilikuwa Mkwawa form 1 and 2 then nikaenda kuwa house Captain Lumumba... nilikuwa MTS miaka ya 90's kati to mwishoni...Mpande naskia amestaafu...enzi zile ukitwa TYL utaisoma number...Mambo ya kuzamia Zenji nayakumbuka kichizi...
kumbe mo tech inawatu wengi humu,,,mzee ugegede kastaafu bana
 
ana matatizo binafsi
Umeona ee! Hizi shule za zamani moshi tech, kibaha, pugu, minaki, ilboru nk ndo zimetoa viongozi wengi japo mwonekano wake uko kama mabanda ya kuku, wengine hatushangai ndo zimetusaidia
 
Umeona ee! Hizi shule za zamani moshi tech, kibaha, pugu, minaki, ilboru nk ndo zimetoa viongozi wengi japo mwonekano wake uko kama mabanda ya kuku, wengine hatushangai ndo zimetusaidia
mkuu samahani...wewe ni Zogolo? samahani kama nimeanika identity yako mkuu
 
mkuu kumbe nawe ni Tech boy? mzee ugegede alikuwepo by the time namaliza pale, nilikuwa Mkwawa form 1 and 2 then nikaenda kuwa house Captain Lumumba... nilikuwa MTS miaka ya 90's kati to mwishoni...Mpande naskia amestaafu...enzi zile ukitwa TYL utaisoma number...Mambo ya kuzamia Zenji nayakumbuka kichizi...
Yeah... mi ni MTS man... (sio boy tena). Nilipita pale miaka ya nyuma kidogo, shule inasikitisha kwa kuchakaa. Enzi za headmaster Malale na secondmaster Kasenge sidhani kama wangeruhusu uchakavu huu utokee. Wale Jamaa wa DANIDA sijui kama bado wapo...
 
Yeah... mi ni MTS man... (sio boy tena). Nilipita pale miaka ya nyuma kidogo, shule inasikitisha kwa kuchakaa. Enzi za headmaster Malale na secondmaster Kasenge sidhani kama wangeruhusu uchakavu huu utokee. Wale Jamaa wa DANIDA sijui kama bado wapo...
Danida wapo mkuu Malale nilimkuta kondoka na head master alikuwa Kimario, then akaja Isack Malisa...nilimwacha Malisa pale. Tulikuwa class Moja na mtoto wa Malale.

Shule imechoka sana hasa zile workshops...ulikuwa Unga gani?
 
Back
Top Bottom