Daah! Long time sana wadau! mimi nimemaliza pale 2007 O-Level! nilikuwa nakaa AZIMIO DORM 5, nikaja nikahamia 4, Haikutosha nikahamia dorm 9! mishe hazikumalizikia pale mwisho wa siku nikahamia MKWAWA DORM 24 coz AZIMIO ilikuwa mbali sana na DH!!
Namkumbuka sana MPANDE, ila alikuwa ananiboa sana kwa upande wa mchaka mchaka!
Namkumbuka sana Mwl. KOBA (Mhina) alikuwa na matango balaa!!
Nikihamia upande wa jikoni sitafanya vizuri kama sitamtaja Mzee UGEGEDE!!!!! Hahahahahahahaaa!!!
NITAMALIZIA NA KIBAO HIKI KAMA MWAKIKUMBUKA
Shule yetu ufundi Mungu ibariki,
bariki wanafunzi nao walimu,
(tupate amani, upendo umoja,
ushirikiano na udumu) X2
...........................................
AHSANTENI SANA WADAU....:A S 103::A S 103::A S 103::A S 103::A S 103::A S 103::A S 103: