Chimbuvu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2012
- 4,401
- 2,341
Dah umenikumbusha mbali,ofisi hizo nilikuwa naweka pesa za matumizi kwa mhasibu,na hilo jengo chini mess room,hapo bado hujakutana na wajane
habari wanaJF
nimeamua kuanzisha uzi huu kwa ajili ya kuwakutanisha wadau wa elimu na wale wote ambao walipita shule ya sekondari ya ufundi tangu kuanzishwa kwake mnamo 1957 .
Lengo ni kujuana,kukumbushana yale yaliokuwa yakijiri shuleni kwa wakati huo ,na pia kutaka kujua yapi yanaendelea ndani ya shule hiyo.
Pia kufahamu na watu mashughuli wenye mchango mkubwa kwa Taifa letu ambao walisoma hapo na kutambua uwepo wa Elimu katika shule ya ufundi moshi
Binafsi nimesoma hapo kidato cha 5 na 6,combination ikiwa ni pcm.
NB:sio lazima uwe umepita shule hyo ndo uchangie,hata kwa wale wanaoifahamu pia mnakaribishwa