Upareni kulikuwa kuna sehemu inaitwa Store Mombasa miaka hiyo ya 80! Imagine maendeleo yalikuwa yameshafika huko! Vitu vingi vizuri na adimu vilipatikana Usangi pekeeMoshi ni kama Ulaya tu nenda uchagani na upareni kule Usangi uone maendeleo
Nenda chuga uone
Watu wa kaskazini maendeleo hayakuletwa na hizo serikali zenu haramu
Sisi hatuongozwi kizembe na mtu kutoka Zanzibar aliyefeli masomo yote form 4 kasoro kiswahili ndo alipata C tu.
Sisi ndo kaskazini bwana, we are proud huyo mamaenu hatumtambui
Hebu niendelee kulewa mimi
Vipi D25?CCM HOYEE....!!
Maana ndio kitu pekee mnachojua,,,kusifu na kuabudu.