Moshi pameendelea, ni kama Ulaya

Moshi pameendelea, ni kama Ulaya

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,120
Reaction score
24,398
Moshi ni kama Ulaya tu nenda uchagani na upareni kule Usangi uone maendeleo

Nenda chuga uone

Watu wa kaskazini maendeleo hayakuletwa na hizo serikali zenu haramu

Sisi hatuongozwi kizembe na mtu kutoka Zanzibar aliyefeli masomo yote form 4 kasoro kiswahili ndo alipata C tu.

Sisi ndo kaskazini bwana, we are proud huyo mamaenu hatumtambui

Hebu niendelee kulewa mimi
 
Ukimaliza kulewa,
Ukumbuke kunywa ile dozi, maana umeacha maelekezo ya madaktari ukizingatia toka moshi hadi dodoma kuna kaumbali kidogo
 
Vipi umeshindwa kuandamana umebaki kutukana mtandaoni? Nyumbu we ungetoka kufanya unyumbu wako uone shenz type.
 
Huyu rais ni haram na uwezo wake ni mdogo nakuunga mkono lakini Arusha na Kilimanjaro hakuna maajabu.
 
Tumeona hayo mapanda kama mnafuga mifugo ,udongo umechaka sana nyummba za huko...
 
Moshi ni kama Ulaya tu nenda uchagani na upareni kule Usangi uone maendeleo

Nenda chuga uone

Watu wa kaskazini maendeleo hayakuletwa na hizo serikali zenu haramu

Sisi hatuongozwi kizembe na mtu kutoka Zanzibar aliyefeli masomo yote form 4 kasoro kiswahili ndo alipata C tu.

Sisi ndo kaskazini bwana, we are proud huyo mamaenu hatumtambui

Hebu niendelee kulewa mimi
Hujaandamana??? D25 veeeeepe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hujaandamana??? D25 veeeeepe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hawa ni wale waandamanaji wa mtandaoni.
Screenshot_20250719-172139~2.jpg

Hakuna mtu anataka tena ule ujinga wa kuandamana
 
Hata kama ulaya hujafika, Hata Kwenye Movies huoni?

Unafananisha Ulaya na mji wa December 😃
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom