DOKEZO Moshi: Mwalimu anayehisiwa Kufichua Maovu ya Afisa Elimu wa Manispaa awekwa LOCKUP na Afisa Elimu huyo (Ndg. Ngonyani)

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Tatizo jeshi letu la polisi lina njaa sana hivyo ni rahisi tuu huyo afisa elimu kuhonga askari na askari wakamtengenezea kesi huyo mwalimu.
Yeah but huyu mwalimu yupo ndani amefunguliwa Docket?,au kaswaga kama mbuzi wa huku lingusenguse ndani?,nini mashitaka yameandikwa ndani ya Docket hiyo?,topics za ualimu hasa za hivi karibuni zina .....
 
Halmashauri nyingi kesi za maofisa wa halmashauri huwa hazitatuliwi miongoni mwao kwa sababu ya ushkaji wanao kuwa nao , maana huyo TSC unaweza kukuta wanagonga cheers kila siku jion kwenye mivinyo unadhan atatoa msaada gani.
 
Hata ningekua mimi ningekupiga shaba mchawi mkubwa wewe, waalimu mna roho za kishetani sana! Hapo wivu unakuuma hadi jasho linakutoka.
 
Huyu Mwl kajitoa muanga vzr , Tunasemag walimu wa zaifu lakn tujiulize ni.mtumish gan katk taasisi ipi aliwez kuweka wazi madudu ya boss wake ambayo yeye pia hata hayakugus maisha yake moja kwa moja
 
Ndio Tanzania ilivyo Sasa,awamu ya 5 huwezi thubutu kumkosoa Kiongozi yeyote ungepotea na Wala magazeti yasingethubu kuandika.

Kwa hizi kelele walau zitamsaidia huyo Mwalimu aliyefichua uovu.

Mwisho huko Kuna DC ,huyo asipopata usaidizi Kwa DC basi ndio imekula kwake
 
Kuna vyeo vingine vya kipuuzi serikali futeni vinatumika kunyanyasa watu alafu elimu msingi kunamatatizo mengi sana walimu msingi wanachukuliwa sawa na wanafunzi
 
Hivi kunakuwa na Afisa Elimu shule za misingi na Afisa Elimu sekondari??
 
Duuuh , hii nchi bado sana huyo ni mtu mmoja anasumbua watumishi Wilaya nzima..😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…