Baba Imani
Member
- Jul 15, 2011
- 79
- 15
Jamani sio siri mimi ni mpenda mabadiliko lakini kwenye hili ni aibu, hapa moshi tulipambana natumehakikisha tumeipa CHADEMA manispaa lakini chakustua na kunishangaza ni kwamba karibu mwaka sasa taa za barabarani za moshi mjini aziwaki yaani utasema sijui ni nini tatizo, kama mnavyojua moshi ni mji wa kitalii na wanatoka mataifa mbalimbali dunia. sasa kuwa na mji ambao usiku nigiza kama vile manispaa imekwenda likizo kwakweli inanisikitisha sana nikiwa kama mpenda maendeleo.
tafadhali naomba kuwasilisha.
Wewe kweli ni Chalii. Yaani Kwa mawazo na MTAZAMO WAKO TAA NI MUHIMU ZAIDI KWA WAGENI WANAOPITA HAPO MARA MOJA KATIKA MAISHA YAO KULIKO WALIPA KODI NA WANAWAO?