Moshi Mjini ni laana au?

Chali wa Moshi

JF-Expert Member
Feb 12, 2012
258
61
Jamani sio siri mimi ni mpenda mabadiliko lakini kwenye hili ni aibu, hapa moshi tulipambana natumehakikisha tumeipa CHADEMA manispaa lakini chakustua na kunishangaza ni kwamba karibu mwaka sasa taa za barabarani za moshi mjini aziwaki yaani utasema sijui ni nini tatizo, kama mnavyojua moshi ni mji wa kitalii na wanatoka mataifa mbalimbali dunia.

Sasa kuwa na mji ambao usiku nigiza kama vile manispaa imekwenda likizo kwakweli inanisikitisha sana nikiwa kama mpenda maendeleo.

Tafadhali naomba kuwasilisha.
 
Mzazi,uongozi mmewapa wahuni wasio nataa nyumbani kwao sasa unatarajia nini si kila mtu wa CDM anafaa
 
Jamani sio siri mimi ni mpenda mabadiliko lakini kwenye hili ni aibu, hapa moshi tulipambana natumehakikisha tumeipa CHADEMA manispaa lakini chakustua na kunishangaza ni kwamba karibu mwaka sasa taa za barabarani za moshi mjini aziwaki yaani utasema sijui ni nini tatizo, kama mnavyojua moshi ni mji wa kitalii na wanatoka mataifa mbalimbali dunia. sasa kuwa na mji ambao usiku nigiza kama vile manispaa imekwenda likizo kwakweli inanisikitisha sana nikiwa kama mpenda maendeleo.

tafadhali naomba kuwasilisha.
Wewe uko njiani kwenda Arumeru kusaidia ujambazi wa kura za magamba wewe moshi mwaka mmoja umekaa lini kilaza original!!
 
Jamani sio siri mimi ni mpenda mabadiliko lakini kwenye hili ni aibu, hapa moshi tulipambana natumehakikisha tumeipa CHADEMA manispaa lakini chakustua na kunishangaza ni kwamba karibu mwaka sasa taa za barabarani za moshi mjini aziwaki yaani utasema sijui ni nini tatizo, kama mnavyojua moshi ni mji wa kitalii na wanatoka mataifa mbalimbali dunia. sasa kuwa na mji ambao usiku nigiza kama vile manispaa imekwenda likizo kwakweli inanisikitisha sana nikiwa kama mpenda maendeleo.

tafadhali naomba kuwasilisha.
waache kukimbizana na wavuta fegi,wakwangua vocha, watema mate na kujikusanyia elfu hamsini hamsini wakuwekee taa?
 
Mzazi,uongozi mmewapa wahuni wasio nataa nyumbani kwao sasa unatarajia nini si kila mtu wa CDM anafaa



Tuliwapa CCM wakachukua viwanja vyote vya manispaa wakavibinafsha vikawa vya CCM, vile vile wakachukua majengo ya manispaa wakabinafsha. so who to trust??
 
Tatizo ni kwamba kila kitu Tanzania kinatoka nje mpaka watangaze tenda na nani ni mfumo sio Chadema. Lakini angalia mambo mengine je kuna mji gani Tanzania unazidi Moshi kwenye usafi hata barabara!

Mzazi,uongozi mmewapa wahuni wasio nataa nyumbani kwao sasa unatarajia nini si kila mtu wa CDM anafaa
 
Jamani sio siri mimi ni mpenda mabadiliko lakini kwenye hili ni aibu, hapa moshi tulipambana natumehakikisha tumeipa CHADEMA manispaa lakini chakustua na kunishangaza ni kwamba karibu mwaka sasa taa za barabarani za moshi mjini aziwaki yaani utasema sijui ni nini tatizo, kama mnavyojua moshi ni mji wa kitalii na wanatoka mataifa mbalimbali dunia. sasa kuwa na mji ambao usiku nigiza kama vile manispaa imekwenda likizo kwakweli inanisikitisha sana nikiwa kama mpenda maendeleo.

tafadhali naomba kuwasilisha.

Wee chali wa moshi ni changamoto nzuri umeileta kwa viongozi wa manispaa ya Moshi, Lakini je umeshawahi kutembelea na manispaa nyingine hapa nchi? Kwa nimewahihi kufanya hivyo, Na ninakuhakikishia kwa asimia 100 manispaa ya Moshi is one of the best in Tanzania.
Na je unavyosema tulipambana au kupigana, ulipambana na nani? Nadhani hata Moshi huijui Chalii angu?
Moshi ni zaidi ya uijuavyo kaka....Wasalimie kwa Majengo kwa Mtei
 
hauijui moshi wewe, tuachie mji wetu msafi na uliopangika kuliko miji yote TZ, Muda si mrefu moshi imeshakubaliwa na itakuwa jiji

wewe piga porojo tuuu wala hutanufaika na chochote
 
Jamani sio siri mimi ni mpenda mabadiliko lakini kwenye hili ni aibu, hapa moshi tulipambana natumehakikisha tumeipa CHADEMA manispaa lakini chakustua na kunishangaza ni kwamba karibu mwaka sasa taa za barabarani za moshi mjini aziwaki yaani utasema sijui ni nini tatizo, kama mnavyojua moshi ni mji wa kitalii na wanatoka mataifa mbalimbali dunia. sasa kuwa na mji ambao usiku nigiza kama vile manispaa imekwenda likizo kwakweli inanisikitisha sana nikiwa kama mpenda maendeleo.

tafadhali naomba kuwasilisha.

we mwongo sana, mbona taa zinawaka? Au unasemea moshi ipi ndg!
 
Wewe uko njiani kwenda Arumeru kusaidia ujambazi wa kura za magamba wewe moshi mwaka mmoja umekaa lini kilaza original!!



Kastarehe; labda nikujuze tuu mimi sina chama chochote na wala sitafanya ivo hata sikumoja. mimi nimpenda maendeleo na vilevile mabadiliko, kwataarifa yako tuu uchaguzi uliopita nilimpigia ndesamburo(CHADEMA) kura, hii ni kwasababu napenda mabadiliko na maendeleo ndani ya mji wetu. so kuniita sijui kilaza your wrong.

mimi napenda sera za chadema lakini we should like critics pia.
 
Tuliwapa CCM wakachukua viwanja vyote vya manispaa wakavibinafsha vikawa vya CCM, vile vile wakachukua majengo ya manispaa wakabinafsha. so who to trust??

Sasa Chalii unafananisha fisadi na muadilifu hapo, mbona unajichanganya? Au unataka kuwarudishia hao waizi wakunyang'anye na kiwamba chako aisee
 
Jamani sio siri mimi ni mpenda mabadiliko lakini kwenye hili ni aibu, hapa moshi tulipambana natumehakikisha tumeipa CHADEMA manispaa lakini chakustua na kunishangaza ni kwamba karibu mwaka sasa taa za barabarani za moshi mjini aziwaki yaani utasema sijui ni nini tatizo, kama mnavyojua moshi ni mji wa kitalii na wanatoka mataifa mbalimbali dunia. sasa kuwa na mji ambao usiku nigiza kama vile manispaa imekwenda likizo kwakweli inanisikitisha sana nikiwa kama mpenda maendeleo.

tafadhali naomba kuwasilisha.

kama serikali haina hela unataka watumie hela zao za mfukoni?
 
Mbona moshi inaheshima yake ukilinganisha na pwani,tanga,lindi, mtwara,rukwa,dodoma,tabora ambaya magamba ndio viongozi
 
Jamani sio siri mimi ni mpenda mabadiliko lakini kwenye hili ni aibu, hapa moshi tulipambana natumehakikisha tumeipa CHADEMA manispaa lakini chakustua na kunishangaza ni kwamba karibu mwaka sasa taa za barabarani za moshi mjini aziwaki yaani utasema sijui ni nini tatizo, kama mnavyojua moshi ni mji wa kitalii na wanatoka mataifa mbalimbali dunia. sasa kuwa na mji ambao usiku nigiza kama vile manispaa imekwenda likizo kwakweli inanisikitisha sana nikiwa kama mpenda maendeleo.

tafadhali naomba kuwasilisha.

The way ilivyo hii post yako na uliyvoiwakilisha kama vle umetumwa na ukakubali kutumika..
 
we mwongo sana, mbona taa zinawaka? Au unasemea moshi ipi ndg!



Ngoiva, acha kudanganya watu wa jamvini. ukitoka kipleft cha mwenge ukiwa unashuka na barabara ya mahakamani kupita manispaa nigiza tupu.

haya barabara yakutoka manispaa inaingia hapa parkview hotel mpaka stendi giza balaa.


sasa wewe ndonikuulize uko moshi gani?
 
Kweli ww chalii huijui moshi vizuri, muda si mrefu moshi inakuwa jiji, bonite maili sita mabogini shabaha kote watu walishaambiwa wapime viwanja hakutakiwa mashamba tena. tuachie mji wetu acha porojo
 
Jamani sio siri mimi ni mpenda mabadiliko lakini kwenye hili ni aibu, hapa moshi tulipambana natumehakikisha tumeipa CHADEMA manispaa lakini chakustua na kunishangaza ni kwamba karibu mwaka sasa taa za barabarani za moshi mjini aziwaki yaani utasema sijui ni nini tatizo, kama mnavyojua moshi ni mji wa kitalii na wanatoka mataifa mbalimbali dunia. sasa kuwa na mji ambao usiku nigiza kama vile manispaa imekwenda likizo kwakweli inanisikitisha sana nikiwa kama mpenda maendeleo.

tafadhali naomba kuwasilisha.

Nyumbani kwenu umeme mliweka lini? Acha ujinga wewe..mimi nimezaliwa moshi na nipo siku zote....Waziri wa nishati gamba, mgao wameleta wao...zalisha umeme wa mavi ujingarishie nao mitaa.
 
Yaani hapa ninapoandikia ni barabarani kabisa. Taa zinawaka acha uzushi. Pita upinde street man uone. Uko njoro nini? Acha uzushi wewe
 
Ngoiva, acha kudanganya watu wa jamvini. ukitoka kipleft cha mwenge ukiwa unashuka na barabara ya mahakamani kupita manispaa nigiza tupu.

haya barabara yakutoka manispaa inaingia hapa parkview hotel mpaka stendi giza balaa.


sasa wewe ndonikuulize uko moshi gani?

Haziwaki tangia lini? hembu nipe jibu isije ikawa ni ushamba wako umeme umekatika unataka taa za barabarani ziwake,
 
Back
Top Bottom