Moshi hongereni kwa usafi; abiria aaibika

Moshi hongereni kwa usafi; abiria aaibika

e60f32159ecae6199eac76b352d4faa5.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi mara ya kwanza kufika Moshi nilifikiri wanapiga deki barabara na hivi siku hiyo kulikuwa na manyunyu sikutaka kuamini kuwa ni usafi tu wa kawaida,maana nilishajizoelea jiji letu kuu na barabara zake zilivyojaa michanga..
 
Umekumbuka soko nini

Enzi izo sikukuu tunaenda Moshi kwa babu Timbirini,basi tukienda kanisa tunaonekana watoto wa mjini kinoumer maana mavazi tuliyokuwa tunapiga ma jeans ya Savco enzi izo tunaonekana wajanja.
 
Mimi mara ya kwanza kufika Moshi nilifikiri wanapiga deki barabara na hivi siku hiyo kulikuwa na manyunyu sikutaka kuamini kuwa ni usafi tu wa kawaida,maana nilishajizoelea jiji letu kuu na barabara zake zilivyojaa michanga..
Mkuu Dar enzi ya Keenja akiwa Meya kama sikosei, jiji lilikuwa safi sana.
Makamba naye hakuwa mbaya sana.
Kwasasa Makonda na mameya wamefeli sana
 
Enzi izo sikukuu tunaenda Moshi kwa babu Timbirini,basi tukienda kanisa tunaonekana watoto wa mjini kinoumer maana mavazi tuliyokuwa tunapiga ma jeans ya Savco enzi izo tunaonekana wajanja.
Hata hivyo hata sasa ukinda timbirini umepigilia pamba za ukweli unageuka sinema, kimavazi kwa kweli ni sawa na vijiji vingine
 
Kinachofanyika ktk usafi dar ni kituko usaf jmos na watu hafanyi usaf wanakaa makundi wanapiga story wanasubiri SAA 4 ifika wafungue biashara zao.shame

Sent using Jamii Forums mobile app
Siku moja niliwaza tu.
Kwanini msanii maarufu asijitolee kuwa BALOZI wa usafi kila mwezi mara moja mfano Diamond awepo mtaani, je hatakuwa na hamasa kwa vijana?
Ndoto tu
 
Back
Top Bottom