Ooh yes. Karibuni Kilimanjaro..Pesa ilipozaliwa.Mji wako eee[emoji13]
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Unantishia nyau wakati niko dar kabla hujazaliwa!
Asante mkuu, chupà ishu kubwa sana jaribu hàta maganda ya Karanga uoneWakuu mlio wahi fika Moshi Kilimanjaro katika hili la usafi mtaniunga mkono.
Wakazi wa Moshi mjini na viunga vyake kwa kiasi flani wamejua umuhimu wa usafi kwani hawahitaji kupigiwa kelele.
Rais alipotoa tamko la usafi wa nchi nzima kufanya usafi Jumamosi ya kwanza ya kila mwezi, halikuwahusu wakazi wa Moshi kwani kwao usafi ni jadi yao tofauti na mikoa, manispaa na majiji mengine nchini.
Nikiwa safarini kupitia Moshi, nimeshuhudia abiria mwenzetu akiaibika bila kutegemea.
Jamaa akiwa anapiga vyombo a.k.a bapa amejikuta matatani baada ya kutupa chupa nje ya gari kwa kupitia dirishani wakati gari likiwa mizani eneo la Himo.
Baada ya kutupa chupa nje, tulishuhudia akina mama wauza mboga, matunda nk. wakipiga kelele utafikiri wameona jambazi. Ndipo kondakta alilazimika kufuatilia kulikoni, ndipo alipojuzwa kuwa abiria wako anachafua mji wetu.
Kondakta kwa ujasiri alimsaka mhusika na kumpata na kumwamuru jamaa ashuke kwenye gari akaokote au atoe faini ya 50,000.
Huu ndio uzalendo wa kupenda mazingira na nchi yako.
Binafsi huwa najiskia kichefuchefu kuona mtu anakunywa maji na kutupa chupa ovyo au uchafu mwingine.
Wito: Watanzania tubadilike, tutunze mazingira.
Wakuu wa mikoa, mabwana afya na wenye dhamana wahamasishe na kuwajengea wananchi tabia ya usafi.
HONGERENI WAKAZI WA MOSHI
Timbirini ??? Mkuu ni PM kwanzaNimefikaga hadi Uru tumbirini, wanajitahidi tena ni vijijini haswa
Ulisomaga pale Uru sec?Mkuu umetaja timbirini umenikumbusha mbali sana asee.
OK but miaka yangu waijua?Kwa miaka yako hiyo mie kakako mkuu,
Jijini tuko tangu utotoni japo sio kuzaliwa
Adui wa Usafi wa Mimi yetu ni Wamachinga has a baada ya kupewa Ruhusa ya kutumia maeneo ya katikati ya Mimi Wapendavyo. Bus Stand, Sidewalks, barabara za kati kama vile za Kariakoo. Dar es salaam wali, mhogo, mishkaki, maandazi vinapikiwa juu ya barabara za lami za Mji na kumwaga Maji machafu. MaDc na MaRc hawatakiwi kuwasema.Twapaswa kubadilika, miji yetu inanuka sana, hasa majiji bila kuisahau Dar. Keenja aliliweza jiji
Kuna memba mmoja huku JF anaitwa mengeleni kwetu nadhani ametokea maeneo hayo.nenda vijijini huko sehemu wanaziita mengeleni yani kanjia kale kakuingia nyumnani aloo wanakafaigia mpaka nzi anaona aibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tegeta mpaka mende wanapaogopaTegeta ndio usiseme mkuu
Cc Mzee wa Rombo Mashati Amrushu MENGELENI KWETUKuna memba mmoja huku JF anaitwa mengeleni kwetu nadhani ametokea maeneo hayo.