Moses Machali: CHADEMA kinaweza kuwa chama cha msimu

Mtangazaji kamuuliza swali kuitaja taja sana CDM huoni unamapenzi nacho

Amejibu NCCR wakimzingua atacha siasa hata tudi CDM
 
Nakubaliana kwa 100% na Mbunge Moses Machali.

Hii siyo hoja. Mtu akisema rizt atakufa tu kama mwanadamu, je utashangaa. Kama waasisi wa vyama hasa CCM wameshafariju, kama msingi ya utanzania ya utu imeshakufa sesembuse na vyama?mtu angesema nchi iitwayo tz itatoweka ningestuka.
 
Sidhani kama kuna Siasa za Maandamano.
Hivi kule Mtwara walipoandamana ni cdm?
Je Wamachinga hapo Dar ni Cdm?
Je Waislam kuandamana hapo Kariakoo ni Cdm?
Kwa nn utaje Kilimanjaro na si Tanga ama Kondoa au Ruvuma?
Je ni Wapi kulifanyika maandamano bila kuwa na sababu husika?
Walitabiri kina nape Wasira ikashindikana itakuwa nyie.
Siasa za woga ni mbaya hupelekea kuzusha mambo.
Kwa uhakika kabisa Chadema imepitia vikwazo vingi kuliko hata TANU.
 
Two wrongs do not make perfect! Kwa hiyo na nyinyi mnanachafua maendeleo yalioletwa na chama tawala ili watu wakasirike na mwishoni wachague hata jiwe kutoka chadema kama Sugu,Lema Nasari ni macriminal hao!
Kumbe ni mtu usiyejitambua kabisa. Kama utambulisho wako rough raider condom, basi kuna kitu kimefyatuka kichwani mwako, ama ni sidhani hata kama umepitia shule ya kata.
 
siku zote huwa simuamini mtu yeyote anayeitwa mwanasiasa......ni hatari sana hawa viumbe
 
Kumbe nyie maCCM mnapotosha ukweli mchana kweupe! hivi unafikiri ninani hajaona hicho kipindi mpaka utudanganye?
alichokisema mh.Machali ni kwamba vyama vyote ni vinaweza kuwa vya msimu huku akinukuu tafsiri isiyo rasmi ya siasa kwamba "is a game of possibility". Binafsi nina msifu sana kwa jinsi alivyo yaelezea mambo ambayo aliulizwa na yule mtangazaji inaonyesha ni jinsi gani alivyo makini tofauti na viongozi na wabunge karibia wote wa ccm.


















mh
 
Two wrongs do not make perfect! Kwa hiyo na nyinyi mnanachafua maendeleo yalioletwa na chama tawala ili watu wakasirike na mwishoni wachague hata jiwe kutoka chadema kama Sugu,Lema Nasari ni macriminal hao!

Hakyamama yako wewe umevurugwa, hivi ni maendeleo yapi unayojivunia chini ya MACCM??, inawezekana wewe kama siyo kipofu na kiziwi basi ulishawahi kunafaika na yafuatayo:...
1.Pesa za EPA k.v. KAGODA, Meremeta, Richmond, IPTL,
2.Mabilioni ya Uswisi
3.Chenji ya rada
4.Ndege ya raisi
5.T- Shirt na Kanga za MACCM wakati wa uchaguzi
6.Ruzuku ya Magamba
7.Mradi wa gesi ya Mtwara kwa ajili ya fidia ya Ritz
8.Biashara ya kuuza unga inayoratibiwa na vigogo na wabunge wa magamba
9.Aidha wewe ni mbunge kundi la vitu maalamu kwa watu maalumu.
10.Aidha wewe au baba yako alikuwa mkimbizaji wa tochi ya uhuru a.k.a Mwenge wa uhuru.

Ukweli lazima uwaingie na kuwauma,

Naomba kuwasilisha Mh. Mwenyekiti.
 
Sidhani kama kuna Siasa za Maandamano.
Hivi kule Mtwara walipoandamana ni cdm?
Je Wamachinga hapo Dar ni Cdm?
Je Waislam kuandamana hapo Kariakoo ni Cdm?
Kwa nn utaje Kilimanjaro na si Tanga ama Kondoa au Ruvuma?
Je ni Wapi kulifanyika maandamano bila kuwa na sababu husika?
Walitabiri kina nape Wasira ikashindikana itakuwa nyie.
Siasa za woga ni mbaya hupelekea kuzusha mambo.
Kwa uhakika kabisa Chadema imepitia vikwazo vingi kuliko hata TANU.

Bisha usibishe chadema kinahusika na kuratibu maandamano karibu yoote nchini! Mara ngapi chadema imedandia hoja mbalimbali zisizo zao? Ile ya mtwara kutwa mlishinda mitandaoni mnakoleza moto ili ulipuke mjifanye hamuhusiki! Sisi tunajua! Je hoja ya katiba nani aliyetangaza tarehe 10/10 iwe siku ya "CIVIL DISOBIDIENCE" nchini? Je kwenye matatizo yasiyo ndani ya ilani zenu mara ngapi mmeyavalia njuga? Nendeni jimbo la Mwenyekiti wenu kuna matatizo lukuki hayana ufumbuzi yeye anavinjari ughaibuni,ankula michango yenu ya M4C! Zindukeni Makamanda!
 
swali limeulizwa, kwanin maandamano Moshi hakuna? despite wanufaika wengi na engineers wapo huko

Taabu kweli kweli!

Hivi zile singo zenye agenda za UDINI, UKABILA, UKANDA, UKOO, na mambo yanayo fanana na hayo zimeishia wapi?

Hata hii ya Maandamano kutofanyika Moshi itapita tu!! Ili chuma cha pua kiwe kamili, lazima kupitia kwenye tanuru la moto. Mwisho wa siku huwa chuma vha pua imara.

Kama ni Chama cha Msimu, Wassira licha ya kuapa kuimaliza CHADEMA akichaguliwa m-NEC CCM, hatimaye alijikuta akitangazia waTanganyika kukifungia CHADEMA milango ya kinacho itwa kunywa juice IKULU.

Hata Mwenyekiti wa mi-CCM alisha sema CHADEMA ni chama cha msimu. Mwishowe akijikuta akiwaambia mi-CCM wenzake "WAJIANDAE KISAIKOLOJIA".
 
Two wrongs do not make perfect! Kwa hiyo na nyinyi mnanachafua maendeleo yalioletwa na chama tawala ili watu wakasirike na mwishoni wachague hata jiwe kutoka chadema kama Sugu,Lema Nasari ni macriminal hao!

Hakyamama yako wewe umevurugwa, hivi ni maendeleo yapi unayojivunia chini ya MACCM??, inawezekana wewe kama siyo kipofu na kiziwi basi ulishawahi kunafaika na yafuatayo:...
1.Pesa za EPA k.v. KAGODA, Meremeta, Richmond, IPTL,
2.Mabilioni ya Uswisi
3.Mabilioni hewa ya Uswisi
4.Manilioni ya JK
5.T- Shirt na Kanga za MACCM wakati wa uchaguzi
6.Ruzuku ya Magamba
7.Mradi wa gesi ya Mtwara kwa ajili ya fidia ya Ritz
8.Biashara ya kuuza unga inayoratibiwa na vigogo na wabunge wa magamba
9.Aidha wewe ni mbunge kundi la vitu maalamu kwa watu maalumu.
10.Aidha wewe au baba yako alikuwa mkimbizaji wa tochi ya uhuru a.k.a Mwenge wa uhuru.

Ukweli lazima uwaingie na kuwauma,

Naomba kuwasilisha Mh. Mwenyekiti.
 
Back
Top Bottom