Nakubaliana kwa 100% na Mbunge Moses Machali.
swali limeulizwa, kwanin maandamano Moshi hakuna? despite wanufaika wengi na engineers wapo huko
Nakubaliana kwa 100% na Mbunge Moses Machali.
Kumbe ni mtu usiyejitambua kabisa. Kama utambulisho wako rough raider condom, basi kuna kitu kimefyatuka kichwani mwako, ama ni sidhani hata kama umepitia shule ya kata.Two wrongs do not make perfect! Kwa hiyo na nyinyi mnanachafua maendeleo yalioletwa na chama tawala ili watu wakasirike na mwishoni wachague hata jiwe kutoka chadema kama Sugu,Lema Nasari ni macriminal hao!
Two wrongs do not make perfect! Kwa hiyo na nyinyi mnanachafua maendeleo yalioletwa na chama tawala ili watu wakasirike na mwishoni wachague hata jiwe kutoka chadema kama Sugu,Lema Nasari ni macriminal hao!
Kamanda kwa nini tukose usingizi kwa ajli ya Saccos ya chadema?!
Sidhani kama kuna Siasa za Maandamano.
Hivi kule Mtwara walipoandamana ni cdm?
Je Wamachinga hapo Dar ni Cdm?
Je Waislam kuandamana hapo Kariakoo ni Cdm?
Kwa nn utaje Kilimanjaro na si Tanga ama Kondoa au Ruvuma?
Je ni Wapi kulifanyika maandamano bila kuwa na sababu husika?
Walitabiri kina nape Wasira ikashindikana itakuwa nyie.
Siasa za woga ni mbaya hupelekea kuzusha mambo.
Kwa uhakika kabisa Chadema imepitia vikwazo vingi kuliko hata TANU.
swali limeulizwa, kwanin maandamano Moshi hakuna? despite wanufaika wengi na engineers wapo huko
hawa vibudu chadema inawakoshesha raha sana, na bado......
Two wrongs do not make perfect! Kwa hiyo na nyinyi mnanachafua maendeleo yalioletwa na chama tawala ili watu wakasirike na mwishoni wachague hata jiwe kutoka chadema kama Sugu,Lema Nasari ni macriminal hao!