Moses Machali: CHADEMA kinaweza kuwa chama cha msimu

Moses Machali: CHADEMA kinaweza kuwa chama cha msimu

Taabu kweli kweli!

Hivi zile singo zenye agenda za UDINI, UKABILA, UKANDA, UKOO, na mambo yanayo fanana na hayo zimeishia wapi?

Hata hii ya Maandamano kutofanyika Moshi itapita tu!! Ili chuma cha pua kiwe kamili, lazima kupitia kwenye tanuru la moto. Mwisho wa siku huwa chuma vha pua imara.

Kama ni Chama cha Msimu, Wassira licha ya kuapa kuimaliza CHADEMA akichaguliwa m-NEC CCM, hatimaye alijikuta akitangazia waTanganyika kukifungia CHADEMA milango ya kinacho itwa kunywa juice IKULU.

Hata Mwenyekiti wa mi-CCM alisha sema CHADEMA ni chama cha msimu. Mwishowe akijikuta akiwaambia mi-CCM wenzake "WAJIANDAE KISAIKOLOJIA".

Wewe dogo unaonekana hujui historia ya vyama vingi hapo miaka ya mwanzo ya 90s, Hakuna chama kilitisha kama Nccr Mageuzi! Unaambiwa mgombea uraisi wake alikubalika hadi vijijini, kila kona ukipita ni tawi la nccr na bendera juu! Kimeishia wapi! Chadema hamna nguvu ya hoja ila mna"hoja za nguvu" mtaishia kuliwa hela za michango na watu wanajirusha na mademu wao nchi za nje nyie mnadhani wanaimarisha chagas...oh! Sorry...Ee chama!
 
Hakutaja chadema alisema chama chochote cha siasa kinaweza kuwa cha msimu endapo hakita waletea maendeleo wananchi wake.Mh machali ameongea ukweli kabisa na muda mwingi alisistiza juu ya tafsiri ya neno Politics as a game/an art of possible
 
Kama amesema hayo maneno! 'ninauhakika kwamba hata yeye hatorudi bungeni, ameonyesha uwezo mdogo sana katika kujenga hoja.
 
Hakutaja chadema alisema chama chochote cha siasa kinaweza kuwa cha msimu endapo hakita waletea maendeleo wananchi wake.Mh machali ameongea ukweli kabisa na muda mwingi alisistiza juu ya tafsiri ya neno Politics as a game/an art of possible

We umehadithiwa na nani? Maana wote tumemsikia na mwishoni akasema hata kama, akiacha NCCR hatarudi chadema kamwe bora awe mwanaharakati,unachokataa hapo ni nini Kamanda? Usiogope ukweli! Ukweli unakuweka huru!
 
Kama amesema hayo maneno! 'ninauhakika kwamba hata yeye hatorudi bungeni, ameonyesha uwezo mdogo sana katika kujenga hoja.

Ameonyesha uwezo mdogo kwa kusema ukweli or?
 
maandamano yanafanyika kwa reason, sio kwa ratiba

Reasons zipo tele tu! Jimbo la Kamanda M/kiti halina huduma muhimu za kijamii kule! Hiyo sio sababu tosha kuitisha maandamano Moshi?
 
Kumbe ni mtu usiyejitambua kabisa. Kama utambulisho wako rough raider condom, basi kuna kitu kimefyatuka kichwani mwako, ama ni sidhani hata kama umepitia shule ya kata.

Kamanda! Hizo shule za academia ulizosoma wewe ndio zimekupa upeo wa kushambulia watu kwa jazba namna hiyo Kamanda! Kwani we hujui kama hao ni ma Criminals!
 
Why CHADEMA,Why CHADEMA kla siku wakati kuna vyama zaidi ya kumi Tanzania....Huo msimu bado haujaisha?

Mkuu Gracious

Sio ajabu kukuta watu hawa hawaelewi hata maana ya 'chama cha msimu'
 
Amesema hayo akihojiwa na Star tv, amedai kuwa endapo hakitabadili muundo wa siasa zake, na kujaribu kuingia akilini kwa wananchi wengi kuwa ni chama bora na chenye hekima,basi kinaweza kukosa hata wawakilishi wakutosha bungeni na kuunda kambi ya upinzani,kama ilivyokuwa huko nyuma kwa NCCR na CUF. My take, siasa za maandamano na shari ndio zitakazowatisha wananchi,hasa wakizingatia maandamano hayo Kule Kilimanjaro huwa hayafanyiki!
Nenda kachukue buku 7 zako ndugu. Duh kweli mnaraha sana vijana wa lumumba yani ukiandika CDM tu unalamba buku 7 kazi mnayo ila unatakiwa kukazana kwani 2014/2015 nadhani ndio utakuwa mwisho wa ajira yenu ya lb7 fc.
 
Nenda kachukue buku 7 zako ndugu. Duh kweli mnaraha sana vijana wa lumumba yani ukiandika CDM tu unalamba buku 7 kazi mnayo ila unatakiwa kukazana kwani 2014/2015 nadhani ndio utakuwa mwisho wa ajira yenu ya lb7 fc.
Teh teh teh! Chadema JF kwisha habari yenu siku hizi mkiishiwa hoja njia yenu ya kukimbia lazima mtaje buku 7.
 
Labda tuhoji shule yake huyu bwana ambae CDM inamnyima usingizi kama huwezi kupambana na CDM jiunge nao. Huyu si ndo yule walimdunda majuzi akawa hoi??!!! Kumbe mlopokaji!! Sawa kabisa

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
nadhani jimbo lake linaweza kwenda chadema au ccm kwenye uchaguzi ujao kama hatarudi kwao kufanya maaendeleo badala ya kukaa mjini kula bata,
 
CCm pia ni chama cha msimu ndo maana msimu wake unaishia 2015!!!!
 
Teh teh teh! Chadema JF kwisha habari yenu siku hizi mkiishiwa hoja njia yenu ya kukimbia lazima mtaje buku 7.

Nyie wana CCM key terms zenu nezitaja jana.
Dr slaa
Mke wa mtu
Mbowe
Sugu
Kristo
Kaskazini
Lisu tundu
Katoliki
Chadema
Hamna jingine
 
CCm pia ni chama cha msimu ndo maana msimu wake unaishia 2015!!!!
 
Chama cha KADIMA kinawenyewe,Kwao shwari kungine timbiri,mishio yao inakuja.
 
Nenda kachukue buku 7 zako ndugu. Duh kweli mnaraha sana vijana wa lumumba yani ukiandika CDM tu unalamba buku 7 kazi mnayo ila unatakiwa kukazana kwani 2014/2015 nadhani ndio utakuwa mwisho wa ajira yenu ya lb7 fc.

Kamanda, mbona hampendi kushauriwa!?
 
Wewe dogo unaonekana hujui historia ya vyama vingi hapo miaka ya mwanzo ya 90s, Hakuna chama kilitisha kama Nccr Mageuzi! Unaambiwa mgombea uraisi wake alikubalika hadi vijijini, kila kona ukipita ni tawi la nccr na bendera juu! Kimeishia wapi! Chadema hamna nguvu ya hoja ila mna"hoja za nguvu" mtaishia kuliwa hela za michango na watu wanajirusha na mademu wao nchi za nje nyie mnadhani wanaimarisha chagas...oh! Sorry...Ee chama!
hapa ndo naona akili yako ulivyo ndogo
 
Back
Top Bottom