Moses Machali: CHADEMA kinaweza kuwa chama cha msimu

Moses Machali: CHADEMA kinaweza kuwa chama cha msimu

amesema hayo akihojiwa na star tv, amedai kuwa endapo hakitabadili muundo wa siasa zake, na kujaribu kuingia akilini kwa wananchi wengi kuwa ni chama bora na chenye hekima, basi kinaweza kukosa hata wawakilishi wakutosha bungeni na kuunda kambi ya upinzani,kama ilivyokuwa huko nyuma kwa nccr na cuf.

My take:
Siasa za maandamano na shari ndio zitakazowatisha wananchi, hasa wakizingatia maandamano hayo kule kilimanjaro huwa hayafanyiki!
hayo maandamano ndiyo yamefanya wananchi waipe chadema kura, kumbe maandamano yanawanyima usingizi chezea nguvu ya umma weyeeee!
 
Mnataka maandamano ya kumkataa meya wa kuchonga wa Ilemela yule Matata yasifanyike Mwanza yakafanyike Moshi? au yale ya kupinga ukiukwaji wa taratibu za uchaguzi wa meya Arusha yangeenda kufanyika Moshi? ndo maana tunasema kuwa CCM hadi uwe na akili za maiti.
 
Back
Top Bottom