EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
KATIBU Mkuu wa Chama cha NCCR-Mageuzi Samwel Ruhuza amemteua Mbunge wa Kasulu Mjini, Moses Machali kuwa Katibu wa Uenezi wa chama hicho akichukua nafasi iliyoachwa wazi na mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila ambaye alivuliwa uanachama wa chama hicho Desemba 17 mwaka jana.
Katika hatua nyingine Ruhuza alisema leo wajumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho(NEC) wakiongozwa na Peterson Mshenyerwa na Sebastian Sebeki watafanya mkutano wa hadhara katika Kata ya Nguruka mjini ambayo ndio kambi kubwa ya Kafulila.
Mbona kazi ipo!!!
CHANZO: Mwananchi
Katika hatua nyingine Ruhuza alisema leo wajumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho(NEC) wakiongozwa na Peterson Mshenyerwa na Sebastian Sebeki watafanya mkutano wa hadhara katika Kata ya Nguruka mjini ambayo ndio kambi kubwa ya Kafulila.
Mbona kazi ipo!!!
CHANZO: Mwananchi