Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,561
- 217,866
Imeripotiwa kwamba mamluki Joseph Selasini, aliyeongoza mapinduzi haramu ndani ya chama cha NCCR Mageuzi ametimuliwa rasmi baada ya ofisi ya msajili wa vyama vya siasa kumtambua rasmi Mbatia kuwa Mwenyekiti halali wa chama hicho. Mwingine aliyetimuliwa ni Katibu Mkuu wa Chama hicho.
Usaliti ni laana.
Chanzo: Raia Mwema.
Usaliti ni laana.
Chanzo: Raia Mwema.