Kwa kifupi huyu ndiye aliyeteswa ili akubali maelezo ya kuwa walikuwa magaidiNinachojiuliza ni kwanini na huyo Dennes Urio aliteswa ilihali Kingai alisema kuwa ndiye alikuwa mtoa taarifa wao?
maswali mengi kuliko majibu.
Mahita na kingai watakufa kifo km cha firauni
CCM hawana akiliDirector wa hii movie ametengeneza movie ya kihindi imejaa mistakes nyingi.
Hii kesi badala ya kuleta amani uraiani kwa kuwafungia gaidi mbowe na wenzake inakoelekea italeta machafuko nchini, kwa sababu hii kesi inaeleweka ni ya kisiasa, sasa haya mambo ya jeshi la polisi kuanza kuonekana linaua watu litawaletea shida hawa askari huku vituoni kwao mitaani.
huyu mama wa kizanzibar nimeishasema afute hii kesi, haya mambo ya askari kuua watu yalikuwa awamu ya tano huko, sasa hawa kina kingai wanataka kuanza kuyaambatanisha na awamu ya sita.
View attachment 1955159
Kati ya hao wanne wawili wako kwenye hii picha
I wish I cud b aijipi....naanza kuelewa. Kweli polisi wetu wanawatesa jwtz...tena ile torturing kwenye killing zone. Huu ni udhalilishaji....jw ni jeshi lenye heshima sana kwa wananchi....rejea vita vya uganda. Kwa vyovyote hii kesi itakavyoisha......kitanuka
Plc wanatesa jw duh cjawai kusikia hii ni dharauWakati shahidi namba mbili na mshitakiwa namba tatu Mohammed Abdilah Ling'wenya wa kesi ndogo katika kesi ya Ugaidi inayowakabili kina Mbowe alimtaja Mosses Lijenje kudaiwa kutupwa na polisi wakati akifanyiwa vitisho.
Mallya: Kitu gani Kiliendelea..?
Shahidi: Maaskari wakasema Mwenzenu Moses Lijenje tumeshamtupa, Ameshatangulia huku wakinigusa Kichwani na Kitu nilichokuwa nahisi kuwa ni Bastola, Ukileta Ujanja Ujanja na wewe tunakutupa
Mallya: Maneno haya ulikuwa unaambiwa wakati gani wakati wa Safari au baada ya Kufika
Huyu Moses Lijenje ni nani?
Je yupo wapi?
Je yupo hai?
Je anahusika vipi na hawa makomando?
Je anahusika vipi na hii kesi ya Mbowe?
Shahidi anaposema polisi kudai wameshamtupa wanamaanisha nini?
Hili limeniacha na maswali mengi sana ya kutafakari.
Ben saaa8 hakuuawa na Polisi.Taarifa nyeti na za kuaminika zilizopo zinasema kuwa Kayafa alimuua yeye mwenyewe kwa mikono yake.Umemaliza lazima Mahita anajua aliko Ben saa8
Alafu mkijua mengi? Umewahi sikia Jamhuri imefungwa jela?Kesi isifutwe ili tujue mengi
Tanzania hakuna separation of power kati ya mhimili wa mahakama na mhimili wa executive.Unaelewa kuwa DPP ni mkono wa Rais katika mahakama?Kwanza, unamuomba rais kuingilia mahakama. Kama Mbowe na wenzake hawana hatia, ni kazi ya mahakamas kuamuwa kuwa hawana hatia. Je, kumshauri raisi aingilkie huo ni utawala bora. Kwani wewe una wasiwasi gani? Kama Mbowe hakutenda kosa la ugaidi, ataachiwa.
hapa serikali nadhani ingeangalia namna sasa, sababu hao jamaa ni makomandoo hii kesi ipelekwe mahakama ya jeshi kwa sababu hii kesi naona inaanza kuwa mtambuka sasa