Kwani baba yake alikuwa msafi?Mzee mahita kwa nini anaruhusu mtoto wake kutumika kufanya dirt jobs utafikiri kawa kapuku, au mtoto wa nje nini huyu jamaa? Kazi ya mauaji si laana tupu aisee.
Kwani baba yake alikuwa msafi?Mzee mahita kwa nini anaruhusu mtoto wake kutumika kufanya dirt jobs utafikiri kawa kapuku, au mtoto wa nje nini huyu jamaa? Kazi ya mauaji si laana tupu aisee.
Hangaya alipohojiwa na kikeke alikiri hadharani kwamba mbowe ni gaidi Na alikimbilia Kenya kujificha na wenzake watatu walishakutwa na hatia na wapo gerezani kutumikia vifungo vyao,Kwanza, unamuomba rais kuingilia mahakama. Kama Mbowe na wenzake hawana hatia, ni kazi ya mahakamas kuamuwa kuwa hawana hatia. Je, kumshauri raisi aingilkie huo ni utawala bora. Kwani wewe una wasiwasi gani? Kama Mbowe hakutenda kosa la ugaidi, ataachiwa.
Kwani wewe walikufanyaje mpaka umshauri avae chupi ya chuma?Naona unaombea yale aliyotaka kuyafanya Mbowe. Wewe huna tofauti na Mbowe, maana unataka kuleta total anarchy and chaos. Tatizo lako wewe ni muoga. Unataka watu wengine ndiyo wakufanyie huo ugaidi. Kitu kama hicho hakitatokea TZ. Na Mbowe atailamba miaka, huenda akaozea jela. Nasikia jela huko kuna mabauncer, mwambie awe na chupi ya chuma.
Mahita na Kingai ni watu wasiojulikana.
Imejulikana rasmi sasa.
Balaa, watwambie walipo mfukia mpendwa wetu, Benn Saanane, tukamfukue tumfanyie ibada. Tunajua Magufuli aliwambia wamuue, kama hajamuua na ile bunduki yake aliokua anaturingishia live.Unamwachaje Jumanne?
Hili ndio Jambazi kabisa
Hangaya alipohojiwa na kikeke alikiri hadharani kwamba mbowe ni gaidi Na alikimbilia Kenya kujificha na wenzake watatu walishakutwa na hatia na wapo gerezani kutumikia vifungo vyao,
Nakuapia hili jambo Litaleta mtifuano kati ya Police force na TPDF. Haiwezekani askari wa jeshi letu Waingie mikononi mwa polisi na kuteswa hadi wengine kufa badala ya kufikishwa katika mahakama za sheria?Moses katajwa tena asubuhi hii... shuuli ni pevu sana hii.
Nashon: ni Kweli Kwamba Wakati Mkiwa mnaelekea Mbweni walikwambia watakupoteza.?
Shahidi: Afande Goodluck aliniambia Tutakupoteza Kama Moses Lijenje
Kuna Uwezekano DCI alimshughulikia Urio kisha akamuunganisha Kingai Kumalizia Bila Kingai kujua kuwa informer kateswa mbaya mbovu.Yapo mengi.
Kumbuka pia tuliambiwa muuza mechi alikuwa ni "poti" - Luteni Urio.
Kumbe Luteni Urio alikuwa ni mmoja wa waliokuwa wakiteswa Tazara na mahabusu pendwa Tazara na pia kule Mbweni.
Kumbe basi hadithi za Kingai kuitwa kwa DCI kuwa Urio alikuwa na taarifa za magaidi zinaweza kuwa ni hadithi zingine kama za sungura na fisi.
kulikiwa na ka-kikundi ndani ya Police ambako kalikuwa na nguvu kubwa mno za kuteka, kutesa na hata kupoteza watu -- ka-kikundi haka kalipata baraka toka mwendazakeNakuapia hili jambo Litaleta mtifuano kati ya Police force na TPDF. Haiwezekani askari wa jeshi letu Waingie mikononi mwa polisi na kuteswa hadi wengine kufa badala ya kufikishwa katika mahakama za sheria?
Kwanza kama kulikuwa na ugaidi wangepelekwa court Marshall!
Unamuamini Kingai?Ninachojiuliza ni kwanini na huyo Dennes Urio aliteswa ilihali Kingai alisema kuwa ndiye alikuwa mtoa taarifa wao?
maswali mengi kuliko majibu.
Jamuhuri inavuliwa nguo na Kingai.
Hakika INAUMIZA SANA Watu Wanateswa ktk NCHI yao wengi bila MakosaWakati shahidi namba mbili na mshitakiwa namba tatu Mohammed Abdilah Ling'wenya wa kesi ndogo katika kesi ya Ugaidi inayowakabili kina Mbowe alimtaja Mosses Lijenje kudaiwa kutupwa na polisi wakati akifanyiwa vitisho.
Mallya: Kitu gani Kiliendelea..?
Shahidi: Maaskari wakasema Mwenzenu Moses Lijenje tumeshamtupa, Ameshatangulia huku wakinigusa Kichwani na Kitu nilichokuwa nahisi kuwa ni Bastola, Ukileta Ujanja Ujanja na wewe tunakutupa
Mallya: Maneno haya ulikuwa unaambiwa wakati gani wakati wa Safari au baada ya Kufika
Huyu Moses Lijenje ni nani?
Je yupo wapi?
Je yupo hai?
Je anahusika vipi na hawa makomando?
Je anahusika vipi na hii kesi ya Mbowe?
Shahidi anaposema polisi kudai wameshamtupa wanamaanisha nini?
Hili limeniacha na maswali mengi sana ya kutafakari.
Kama vipi zipigwe.Nakuapia hili jambo Litaleta mtifuano kati ya Police force na TPDF. Haiwezekani askari wa jeshi letu Waingie mikononi mwa polisi na kuteswa hadi wengine kufa badala ya kufikishwa katika mahakama za sheria?
Kwanza kama kulikuwa na ugaidi wangepelekwa court Marshall!
hii kesi sasa ishakuwa an opened Pandora box, hata serikali ikisema haina nia na hii kesi haitasaidia kitu.
Kuna Uwezekano DCI alimshughulikia Urio kisha akamuunganisha Kingai Kumalizia Bila Kingai kujua kuwa informer kateswa mbaya mbovu.
Tusaidiwe kumjua ataeleza mengiWakati shahidi namba mbili na mshitakiwa namba tatu Mohammed Abdilah Ling'wenya wa kesi ndogo katika kesi ya Ugaidi inayowakabili kina Mbowe alimtaja Mosses Lijenje kudaiwa kutupwa na polisi wakati akifanyiwa vitisho.
Mallya: Kitu gani Kiliendelea..?
Shahidi: Maaskari wakasema Mwenzenu Moses Lijenje tumeshamtupa, Ameshatangulia huku wakinigusa Kichwani na Kitu nilichokuwa nahisi kuwa ni Bastola, Ukileta Ujanja Ujanja na wewe tunakutupa
Mallya: Maneno haya ulikuwa unaambiwa wakati gani wakati wa Safari au baada ya Kufika
Huyu Moses Lijenje ni nani?
Je yupo wapi?
Je yupo hai?
Je anahusika vipi na hawa makomando?
Je anahusika vipi na hii kesi ya Mbowe?
Shahidi anaposema polisi kudai wameshamtupa wanamaanisha nini?
Hili limeniacha na maswali mengi sana ya kutafakari.
Naona unaombea yale aliyotaka kuyafanya Mbowe. Wewe huna tofauti na Mbowe, maana unataka kuleta total anarchy and chaos. Tatizo lako wewe ni muoga. Unataka watu wengine ndiyo wakufanyie huo ugaidi. Kitu kama hicho hakitatokea TZ. Na Mbowe atailamba miaka, huenda akaozea jela. Nasikia jela huko kuna mabauncer, mwambie awe na chupi ya chuma.