Moses Lijenje aliyetajwa kutupwa na Polisi kesi ya ugaidi ya Mbowe na wenzake ni nani?

Kwanza, unamuomba rais kuingilia mahakama. Kama Mbowe na wenzake hawana hatia, ni kazi ya mahakamas kuamuwa kuwa hawana hatia. Je, kumshauri raisi aingilkie huo ni utawala bora. Kwani wewe una wasiwasi gani? Kama Mbowe hakutenda kosa la ugaidi, ataachiwa.
Hangaya alipohojiwa na kikeke alikiri hadharani kwamba mbowe ni gaidi Na alikimbilia Kenya kujificha na wenzake watatu walishakutwa na hatia na wapo gerezani kutumikia vifungo vyao,

Ajabu hiyo kesi sjui iliendeshwa kupitia mahakama ipi , labda ndio hiyo ambayo lijenje haonekani alipo alishatupwa
 
Naona unaombea yale aliyotaka kuyafanya Mbowe. Wewe huna tofauti na Mbowe, maana unataka kuleta total anarchy and chaos. Tatizo lako wewe ni muoga. Unataka watu wengine ndiyo wakufanyie huo ugaidi. Kitu kama hicho hakitatokea TZ. Na Mbowe atailamba miaka, huenda akaozea jela. Nasikia jela huko kuna mabauncer, mwambie awe na chupi ya chuma.
Kwani wewe walikufanyaje mpaka umshauri avae chupi ya chuma?


Pole na hongera maana naona ushakuwa mzoefu
 
Moses katajwa tena asubuhi hii... shuuli ni pevu sana hii.

Nashon: ni Kweli Kwamba Wakati Mkiwa mnaelekea Mbweni walikwambia watakupoteza.?

Shahidi: Afande Goodluck aliniambia Tutakupoteza Kama Moses Lijenje
Nakuapia hili jambo Litaleta mtifuano kati ya Police force na TPDF. Haiwezekani askari wa jeshi letu Waingie mikononi mwa polisi na kuteswa hadi wengine kufa badala ya kufikishwa katika mahakama za sheria?
Kwanza kama kulikuwa na ugaidi wangepelekwa court Marshall!
 
Yapo mengi.

Kumbuka pia tuliambiwa muuza mechi alikuwa ni "poti" - Luteni Urio.

Kumbe Luteni Urio alikuwa ni mmoja wa waliokuwa wakiteswa Tazara na mahabusu pendwa Tazara na pia kule Mbweni.

Kumbe basi hadithi za Kingai kuitwa kwa DCI kuwa Urio alikuwa na taarifa za magaidi zinaweza kuwa ni hadithi zingine kama za sungura na fisi.
Kuna Uwezekano DCI alimshughulikia Urio kisha akamuunganisha Kingai Kumalizia Bila Kingai kujua kuwa informer kateswa mbaya mbovu.
 
Nakuapia hili jambo Litaleta mtifuano kati ya Police force na TPDF. Haiwezekani askari wa jeshi letu Waingie mikononi mwa polisi na kuteswa hadi wengine kufa badala ya kufikishwa katika mahakama za sheria?
Kwanza kama kulikuwa na ugaidi wangepelekwa court Marshall!
kulikiwa na ka-kikundi ndani ya Police ambako kalikuwa na nguvu kubwa mno za kuteka, kutesa na hata kupoteza watu -- ka-kikundi haka kalipata baraka toka mwendazake
 
Wakati shahidi namba mbili na mshitakiwa namba tatu Mohammed Abdilah Ling'wenya wa kesi ndogo katika kesi ya Ugaidi inayowakabili kina Mbowe alimtaja Mosses Lijenje kudaiwa kutupwa na polisi wakati akifanyiwa vitisho.

Mallya: Kitu gani Kiliendelea..?

Shahidi: Maaskari wakasema Mwenzenu Moses Lijenje tumeshamtupa, Ameshatangulia huku wakinigusa Kichwani na Kitu nilichokuwa nahisi kuwa ni Bastola, Ukileta Ujanja Ujanja na wewe tunakutupa

Mallya: Maneno haya ulikuwa unaambiwa wakati gani wakati wa Safari au baada ya Kufika


Huyu Moses Lijenje ni nani?

Je yupo wapi?

Je yupo hai?

Je anahusika vipi na hawa makomando?

Je anahusika vipi na hii kesi ya Mbowe?

Shahidi anaposema polisi kudai wameshamtupa wanamaanisha nini?

Hili limeniacha na maswali mengi sana ya kutafakari.
Hakika INAUMIZA SANA Watu Wanateswa ktk NCHI yao wengi bila Makosa
 
Nakuapia hili jambo Litaleta mtifuano kati ya Police force na TPDF. Haiwezekani askari wa jeshi letu Waingie mikononi mwa polisi na kuteswa hadi wengine kufa badala ya kufikishwa katika mahakama za sheria?
Kwanza kama kulikuwa na ugaidi wangepelekwa court Marshall!
Kama vipi zipigwe.
 
Kuna Uwezekano DCI alimshughulikia Urio kisha akamuunganisha Kingai Kumalizia Bila Kingai kujua kuwa informer kateswa mbaya mbovu.

Kumbuka Urio alionekana kuteswa pia Tazara, baada sana ya kuwa alishaunganishwa na Kingai.

Urio alishaunganishwa na Kingai kabla ya akina Ling'wenya kukamatwa.

Urio alionekana kwenye kuteswa na Ling'wenya Tazara baada ya kuwa alishakamatwa Moshi.

Kuna hatari Urio pia hatopatikana.

Tulipo ni genge la wauwaji linaloratibiwa na wanaojiita viongozi wetu aka viongozi wa wanyonge.
 
Wakati shahidi namba mbili na mshitakiwa namba tatu Mohammed Abdilah Ling'wenya wa kesi ndogo katika kesi ya Ugaidi inayowakabili kina Mbowe alimtaja Mosses Lijenje kudaiwa kutupwa na polisi wakati akifanyiwa vitisho.

Mallya: Kitu gani Kiliendelea..?

Shahidi: Maaskari wakasema Mwenzenu Moses Lijenje tumeshamtupa, Ameshatangulia huku wakinigusa Kichwani na Kitu nilichokuwa nahisi kuwa ni Bastola, Ukileta Ujanja Ujanja na wewe tunakutupa

Mallya: Maneno haya ulikuwa unaambiwa wakati gani wakati wa Safari au baada ya Kufika


Huyu Moses Lijenje ni nani?

Je yupo wapi?

Je yupo hai?

Je anahusika vipi na hawa makomando?

Je anahusika vipi na hii kesi ya Mbowe?

Shahidi anaposema polisi kudai wameshamtupa wanamaanisha nini?

Hili limeniacha na maswali mengi sana ya kutafakari.
Tusaidiwe kumjua ataeleza mengi

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Sawa Jumanne, ila siku ukiwa unaulilia uhai wako siku izrael akikufikia utatamani kuyakana haya japo nafasi hutakuwa nayo tena. Mwenzako aliyekuwa anawatuma alikuwa na jeuri ya hii hii ila Muulize aliko kama ile nafasi ya kuongoza malaika aliikuta bado iko wazi.
Naona unaombea yale aliyotaka kuyafanya Mbowe. Wewe huna tofauti na Mbowe, maana unataka kuleta total anarchy and chaos. Tatizo lako wewe ni muoga. Unataka watu wengine ndiyo wakufanyie huo ugaidi. Kitu kama hicho hakitatokea TZ. Na Mbowe atailamba miaka, huenda akaozea jela. Nasikia jela huko kuna mabauncer, mwambie awe na chupi ya chuma.
 
Back
Top Bottom